SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

all ze best Mkuu!

Tunawatakieni maisha marefu yenye furaha na upendo utawale katikati yenu!

From Mr & Mrs Masikini Jeuri na MJ_jr
Singida.
 
all ze best Mkuu!

Tunawatakieni maisha marefu yenye furaha na upendo utawale katikati yenu!

From Mr & Mrs Masikini Jeuri na MJ_jr
Singida.
ahsanteni kwa pamoja!SHUKRANI ZA PEKEE ZAIDI
 
watoto ni ishu ya kawaida sana katika familia,NA PIA NI MAAJAALIWA!me i dn't want babiez for now!lol....at least four yrs later KAMA ITAWEZEKANA

....taaraatiibu.....hommy! titaliongelea vizuri keshokutwa ukiwa na VYASKA 15 hivi kwa medula obulongata........!
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
 
Why should the wedding ring be worn on the fourth finger?

There is a beautiful and convincing explanation given by a Chinese Legend...

Thumb represents your Parents
Second (Index) finger represents your Siblings
Middle finger represents your-Self
Fourth (Ring) finger represents your Life Partner
& the Last (Little) finger represents your children

Firstly, open your palms (face to face), bend the middle fingers and hold them together - back to back
Secondly, open and hold the remaining three fingers and the thumb - tip to tip (As shown in the attached figure):

Now, try to separate your thumbs (representing the parents)..., they will open, because your parents are not destined to live with you lifelong, and have to leave you sooner or later.
Please join your thumbs as before and separate your Index fingers (representing siblings)...., they will also open, because your brothers and sisters will have their own families and will have to lead their own separate lives.

Now join the Index fingers and separate your Little fingers (representing your children)...., they will open too, because the children also will get married and settle down on their own some day.

Finally, join your Little fingers, and try to separate your Ring fingers (representing your spouse).
You will be surprised to see that you just CANNOT....., because Husband & Wife have to remain together all their lives - through thick and thin!!

ISN'T THIS A LOVELY THEORY?

Surely is .... hiyo nilijaribu kufanya siku moja bila kujua inamaanisha nini na nilishangaa sana kuona vidole vya ndoa havifunguki kwa kila jitihadi niliyofanya, basi nikaacha kama ilivyo, lakini leo umenipa maana nzuri kabisa - again Thanx mkuu- ama kweli kuishi ni kujifunza na JF ni darasa kuuuuuuuuuubwa!

..................................
Amani yetu inatumiwa vibaya
 
Hongera mkuu, kwa kuukataa ukapela kama sisi kaka zako,karibu kwenye maisha ya raha mstarehe,kilichobaki itumie vizuri 6*6 na hatimae tuone mafanikio yake.Hongera na Mungu awe nawe.
Mke wako atakuwa kama mzabibu wenye kuzaa matunda ndani ya nyumba yako
 
Surely is .... hiyo nilijaribu kufanya siku moja bila kujua inamaanisha nini na nilishangaa sana kuona vidole vya ndoa havifunguki kwa kila jitihadi niliyofanya, basi nikaacha kama ilivyo, lakini leo umenipa maana nzuri kabisa - again Thanx mkuu- ama kweli kuishi ni kujifunza na JF ni darasa kuuuuuuuuuubwa!

..................................
Amani yetu inatumiwa vibaya

Karibu Mkuu
 
Hongera mkuu, kwa kuukataa ukapela kama sisi kaka zako,karibu kwenye maisha ya raha mstarehe,kilichobaki itumie vizuri 6*6 na hatimae tuone mafanikio yake.Hongera na Mungu awe nawe.
Mke wako atakuwa kama mzabibu wenye kuzaa matunda ndani ya nyumba yako

😀😀
 
Hongera mkuu, kwa kuukataa ukapela kama sisi kaka zako,karibu kwenye maisha ya raha mstarehe,kilichobaki itumie vizuri 6*6 na hatimae tuone mafanikio yake.Hongera na Mungu awe nawe.
Mke wako atakuwa kama mzabibu wenye kuzaa matunda ndani ya nyumba yako
una maana gani?😀😀
 
Hongera kwa kuoa mwanaJF..Maisha mema ya ndoa Geoff!!
ahsante kwa baraka!....wengine wananikatisha tamaa.nashindwa kuelewa kwamba kama ndoa ni chungu kiasi hicho inakuwaje watu hawawatupii virago wake zao?😀
 
ahsante kwa baraka!....wengine wananikatisha tamaa.nashindwa kuelewa kwamba kama ndoa ni chungu kiasi hicho inakuwaje watu hawawatupii virago wake zao?😀

Wala usikate tamaa, ndoa haina formula. Tena wewe umeoa tu, usiwaze kabisa hayo mambo, muhimu ni kufurahia mibaraka yote ya ndoa na kuridhika na mwenzi wako..
Nitakujoin mapema 2011 panapo majaliwa..Changamoto hazikosekani kwa kusikia habari toka kwa watu ila pia raha yake imo ndo mana hawatupi hivyo virago!!.. All the best my friend!..
 
ahsante kwa baraka!....wengine wananikatisha tamaa.nashindwa kuelewa kwamba kama ndoa ni chungu kiasi hicho inakuwaje watu hawawatupii virago wake zao?😀

.........Uamuzi ulioufanya wa maana sana Geoff, usiwasikilize hao wanaokukatisha tamaa.
Hata mie mwenyewe nilivyotaka kuolewa marafiki zangu walinisema na kunitisha, kwamba naolewa bado mdogo.......lakini mimi umri wangu huu wa miaka 25 najiona mtu mzima kabisaaa hivyo sikutishika, japo nina miezi 2 sasa kwenye ndoa lakini ndoa tamu bwana asikwambie mtu.
Maisha ya kutanga tanga kwenye mapenzi wala hayapendezi, uamuzi ulioufanya ni wa maana sana na hongera sana.
 
Congratz Mr G
Mungu akulindeni..
Kamata hiyo Lets love lead the way-Spice girls
 
Back
Top Bottom