shukrani

shukrani

eeh upo ww mambo?wknd?duh miss u pple
🙂 🙂 🙂 Hujatulia, kuna aina moja ya kinywaji iliisha pale kwenye ile Clubi! Bila hivyo nahisi kweli matumizi yangeweza kuzidi doneee!!! 🙂
 
pesa zilizopatkana cash ni laki moja,makofi kwetu tafadhali,watu tuliokutana ni 6,ww ulisema utatoa sh ngapi?kuna predg ya elfu hamsini na elfu 15,nimetoka kuongea na mwanakijiji just now kasema ananitumia no ya huyo mwakilishi huku ili niweze kumpa so far tunaomba muwakilishe hizo pesa mlio predg ili nikabidi tafadhali,una lingine?

Kiwango cha chini kuchangia ni shs ngapi?
 
dnt worry zea is alwaz tumor
usichoke jamani tupeni tu hayo maazimio na mikakati ili na wengine ambao atukufika tuweze kutoa michango ya mawazo pia
 
tunaomba minutes,na taarifa zilizokuwa katika format nzuri na inayoeleweka FOR OUR RECORDS!

tunaomba attendace pia

Kwa kifupi kuku tuliokula pale walikuwa watamu sana (courtesy of Pearl, thanks Pearl)! Geoff next time jitahidi utie timu mzee!! 🙂
 
Kwa kifupi kuku tuliokula pale walikuwa watamu sana (courtesy of Pearl, thanks Pearl)! Geoff next time jitahidi utie timu mzee!! 🙂

Aje kwa ajili ya mchango au kula kuku watamu?
 
Kiwango cha chini kuchangia ni shs ngapi?

Kiwango cha chini ni Tshs. 5,000 (elfu tano tu) na hakuna kiwango cha juu...unaweza kutoa kiashi chochote kile kilicho ndani uwezo wako!

Tunaomba pledge yako tafadhali! 🙂
 
Kiwango cha chini ni Tshs. 5,000 (elfu tano tu) na hakuna kiwango cha juu...unaweza kutoa kiashi chochote kile kilicho ndani uwezo wako!

Tunaomba pledge yako tafadhali! 🙂

Tunaruhusiwa kupledge hata material? Kwa mfano nikitaka kuchangia mabati, mchele, mablanketi au hata kreti la bia?
 
yap yap yap ebwana eeeeeeeeeeeeeeeeh
Tunaruhusiwa kupledge hata material? Kwa mfano nikitaka kuchangia mabati, mchele, mablanketi au hata kreti la bia?
 
pesa zilizopatkana cash ni laki moja,makofi kwetu tafadhali,watu tuliokutana ni 6,ww ulisema utatoa sh ngapi?kuna predg ya elfu hamsini na elfu 15,nimetoka kuongea na mwanakijiji just now kasema ananitumia no ya huyo mwakilishi huku ili niweze kumpa so far tunaomba muwakilishe hizo pesa mlio predg ili nikabidi tafadhali,una lingine?
satsfied!....
 
vyoteeeeeeeeeeeeeeeee,kima cha chini 25 but unaweza kuongea jimsi unavyoguswa

Masaki na Pearl hebu tuwekeni sawa hapa: Kima cha chini ni elfu tano au elfu ishirini na tano?
 
mm nilisajest elfu 5 ndio niliyoandika kwenye thred,baada ya kukutana watu wakajikuta wanagushwa zaidi so ikapanda,au sio masaki n original membaz?
Masaki na Pearl hebu tuwekeni sawa hapa: Kima cha chini ni elfu tano au elfu ishirini na tano?
 
Back
Top Bottom