Habari wana jf naomba msaada nifanya je ? Dogo alichagua comb ya cbg ila shule aliyo pangiwa ndo wana anza mwaka huu kuchukua kombi hiyo ,dogo hataki shule hiyo anaka aende loleza ,dogo ni wakike ,naomba msaada namna ya kumwamisha,natumaini nita saidiwa.