Shule bila Madarasa ya kusomea

Mr Mayunga

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
313
Reaction score
40
Mimi ni mwalimu katika shule moja ya sekondari huku Rufiji.Mwaka huu tunategemea fom 3 wa 1 ktk shule hii,Chakushangaza madarasa yakusomea hayajakamilika mpaka sasa na shule zimefunguliwa.Hii inatisha, 4m 2 tunao 160 madarasa ma2 ! bado hao waliofeli kuelekea 4m 3 na wanatakiwa warudie.4m 1 tumeletewa 199 na wana madarasa ma2.
Hivi unafuu wa kazi uko wapi?Kila sehemu tabu!mshahara midogo,mazingira magumu mwisho wa siku tutapiga blabla darasani na mwaka utaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…