Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Mshikaji baada ya kuripot ofisi za halmashauri akaambiwa anunue na mishumaa ya kwendea huko kijijin aendako maana hakuna umeme na hakuna maduka ambapo anaweza kupat huduma za haraka:majani7:jamani shule hazina mvuto wa kufundisha. Nlikimbia hii fani baada ya miaka miwili maana ni shule ya kata ipo kijijin bala. Mwalimu wa masomo ya sayansi nlikuwa peke yangu kwa shule nzima af salary 131,000/=. Hamna maabara wala maktaba. Mshahara ni mpk upande basi ndo ukachukue, ukikuta haujaingia imekula kwako maana hata mtandao haushiki huko. Nlichukia ualimu.
Kwa hiyo jamaa akaukwaa 'ualimu mkuu'?Heheheh,mwaka 2010 jamaa yangu alipangwa mahari ila alipofika kwa afisa elim kuna mtu akaingia kutoa taarifa kuwa mkuu wa shule ameliwa na simba,ufafanuz ulipotolewa kumbe ndo shule ileile anayotakiwa kwenda
hapo tu pamenifanya nikuache
Ahahahahaaaasssss.....hao ndio walimu wanaofundisha watoto wetu mkuu...halafu watoto wakipata ziro wanasema vitendea kazi ndio tatizo...kumbe wenyewe ndio tatizo...wengi ni bomu
Heheheh,mwaka 2010 jamaa yangu alipangwa mahari ila alipofika kwa afisa elim kuna mtu akaingia kutoa taarifa kuwa mkuu wa shule ameliwa na simba,ufafanuz ulipotolewa kumbe ndo shule ileile anayotakiwa kwenda