Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekosa hekima Kwa umri wao na uzoefu wao katika siasa walibidi kuwa hekima zaidi kwakuwa wanachogombania hapo hakipoHakuna kinachofanyika hapo zaidi ya vita ya chini chini ya kutengenezeana visa vya Kiafrika mara huyu awe na madiwani hawa mara yule wale tafrani tu si unajua njaa ndio inawafanya madiwani wasiwe na misimamo sehemu ipi ya kusimama na hofu imewajaa..
Kwani wewe umemaliza darasa la 7D juzi au unamahaba yaliyopitiliza mpaka unashindwa kumuelewa gambo ?Makonda kasoma Chuo cha Ushirika Moshi na baadae Chuo cha Uongozi Magogoni Sasa utasemaje Shule yake haijanyooka?
Tamaa ya madaraka tu kaka na kutengenezeana chuki tu zisizo na maana kabisa.Wamekosa hekima Kwa umri wao na uzoefu wao katika siasa walibidi kuwa hekima zaidi kwakuwa wanachogombania hapo hakipo
Tamaa ya madaraka tu kaka na kutengenezeana chuki tu zisizo na maana kabisa.
Bora huyo hakuchaguliwa tu la 7Wewe sijui una matatizo gani ?.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha ni Daud Albert Bashite.
Kama ana cheti chenye majina hayo elimu yake itakuwa imenyooka.
Hakunaga Chuo pale ni siasa tu 😂Kwanza tujue elimu yako wewe.
Maana kwa akili yako nyepesi unadhani UDOM ni chuo cha mchezo mchezo.
Walulize wenzio wanakifahamu sana.
Father of propaganda at workBora huyo hakuchaguliwa tu la 7
Mwenyekiti mstaafu alizungusha Form 6 🐼
Gambo anavuna alichopanda kipindi cha Magu cha kumdharau Lema na kumuweka Jela kila mara mpaka wakapatanishwa.Hizo mentality zao sio nzuri wanabidi kujua Madaraka ni Kama Nyama ya tembo hauwezi kuila peke yako ukaimaliza.
Wamekosa Hekima , sifikirii Kama ni sahihi kudharauliana. Kiasi hiki.
Pia Gambo anachovuna ni karma aliwahi kumfanyia kitu Kama hiki God bless Lema miaka ya nyuma alipokuwa RC.
Tabia ya Ku-Out smart kiongozi wako huwa sio nzuri
Kweli wala asilalamike SanaGambo anavuna alichopanda kipindi cha Magu cha kumdharau Lema na kumuweka Jela kila mara mpaka wakapatanishwa.
Dr.Gwajima hakuchaguliwaNi vema tukapata Ufafanuzi wa " Shule iliyonyooka" Ili na sisi Jimbo la Kawe na pale Iringa Mjini tusije kuchagua Mbunge wa Elimu ya " hapa na pale"
Kwa Sasa Kawe tunaye Dr Gwajima PhD na Iringa Mjini Dr Jesca PhD
Nimekaa pale 🐼
Gwajiboi alisema kuwa yeye (Gwajiboi) aliwahi kuitwa Rashid😄😄 akiwa anaishi msikitini Kawe😄Nani anaitwa Daudi Bashite? Mtafute Gwajiboy akufafanulie.
Una level gani ya elimu?Samia ondoa moja wapp watakuyumisha hawa
Kigwa🐼Hiyo kauli itamgharimu maana amegusa wengi ...
Kwani katika mfano wako umtaje mwigulu kutakuwa kuna jambo hapa, au umetumwa kumpakazia ubaya mr president ajae mkuualimaanisha shule ya kuhudhuria darasani, sio shule ya kununua vyeti vyenye majina ya watu. wewe unaitwa daudi albert bashite, ghafla unasomeka makonda. au unaitwa madilu, ghafla unasomeka mwigulu mchema. n.k ni mfano tu lakini.
Mbona hamkumjibu Magufuli wakati ule??Sasa linalohudhuria shule ni jina au mtu? Awe Bashite au Makonda jamaa limesoma!
Waliotumbuliwa siyo kwamba ni kwa ajili ya majina bali ilikuwa mtu haja da kabisa shule anachukua cheti cha mtu na kujidai kwamba kumaliza form 4. Wengine walitumbuliwa kutokana na cheti cha kidato cha 4 kutoonekana. Lakini walikuwa hawaulizi hata kama una jina la mtu almradi vyeti vyako viwe vimenyooka!Mbona hamkumjibu Magufuli wakati ule??