INAUZWA Shule inauzwa Dodoma

Mathias Raymond Nyakapala

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
2,181
Reaction score
1,493
SHULE INAUZWA DODOMA.

-Eneo lina Ukubwa wa Heka 15.
-Bei ni Milioni 500 tu(500,000,000) unaweza kulipa kwa Awamu pia na Mazungumzo yapo.
-Shule inaunzwa iko Dodoma Wilaya ya Chamwino Km 7 toka Chamwino Ikulu.
-Lakini pia pia sio mbali kutoka Mji wa Serikali.
-Shule ina Majengo Manne na Miundombinu kama Vyoo.
-Shule ina Wanafunzi na Walimu wanaendelea na Masomo.

Mawasiliano:
+255 (0) 625646266






 
Waalimu na Wanafunzi wanajua kwamba wanauzwa ?

Kama hawajui huoni hii inaweza kupelekea wao kuingia mitini ?

Pili kwanini mnauza ?, kuna wanafunzi wangapi na potentially ikiendeshwa vizuri inaweza kuingiza ngapi kwa mwaka / mwezi

Hao waalimu na hao wanafunzi malipo una-break even au unaendesha kwa hasara
 
Nimesoma Comments zenu nimecheka sana naomba nitoe majibu kwa Ujumla.

1.Milioni 500 inauzwa Shule na Eneo Hela 15,fahamu dhamani ya Ardhi husika lakini pia Shule imeshakuwa inafahamika so ukienda unaendelea kutoa huduma na sio unaanza kutangaza upya.[emoji16]

2.Hapo ni sehemu nzuri sana kwa Wanatumishi wa Umma maana ni karibu na Ofisi za Wizara pia Mji wa Serikali so kama kuna mtu ni Mtumishi wa Wizarani hapo patakuwa ni jirani na Makazi yao pia Ofisi.

3.Hakuna jangwa ni shele nzuri sana ila kama hauna hela unaweza kutoa kasoro nyingi mno lakini huwezi kuamini wenzio wanakuja kuona na wanasema wanalipaje hata kama haitakuwa inafika 500M ila wanafika bei zao na ndo maana tumeandika maongezi yapo.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Karibu Wakuu tena wekeza kwenye Ardhi ya Dodoma inaongezeka thamani kwa kasi sana.
 
Ndio maana unachapia. Kwahiyo ndalichako kuongea koooteeee. Anataka kutupiga hiyo shule milioni 500 kweli?
 

Chamwino Ni Mbali Sana Mji Wa Serikali Mtumba

Halafu Ukisema Kilometres 7 Toka Barabara Kuu Lazima Mtakuwa Mnapanda Super Baraka Kwenda Huko
 
Sasa ndio naamini kabisa hela ya Tanzania haina thamani yoyote inaweza kuwa sawa sawa na Shillings ya SOMALIA maana wao hela wanakusanya kwenye Matololi kama hii sehemu inauzwa MILLION 500 ni majanga makubwa.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…