Shule inauzwa-ipo kibaha--- hakari 15, madarasa 16, nyumba za walimu 14, na wanafunzi 300

Shule inauzwa-ipo kibaha--- hakari 15, madarasa 16, nyumba za walimu 14, na wanafunzi 300

SHULE INAUZWA:-IPO KIBAHA
Ipo kwenye eneo la Hekari 15, ina madarasa 16, nyumba vyawalimu 14, na wanafunzi wapatao 300, ni shule ya sekondari. Bei ni Bilioni 2.7
Kwa mawasiliano na taarifa piga; 0653 234010

haina jina?
 
Nina hofu hebu jieleze vizuri
Unauza shule?? haina tatizo kweli?
Huna uhusika katika kuhujumu Elimu Ya Tanzania wewe, Ni majengo yanayofaa kwa shule au ni shule kabisa?
 
haina jina?

Ah WEwe mwizi hata wanafunzi unawauza? Pole wanangu na wadogo zangu. Ni shule zinazoanzishwa hazina plan zozote. Inawezekanaje unaanzisha shule hujui utaendaje, ishu nyeti kama hii inayohusu maisha ya watu?
Nashukuru kutoa namba yako itabidi tukuchunguze.
 
Shule inaitwa RONECA girls High School. Kinachouzwa ni umiliki wa shule nategemea atakayenunua atafaidika na miundombinu na 'goodwill' ya shule.
 
Ah WEwe mwizi hata wanafunzi unawauza? Pole wanangu na wadogo zangu. Ni shule zinazoanzishwa hazina plan zozote. Inawezekanaje unaanzisha shule hujui utaendaje, ishu nyeti kama hii inayohusu maisha ya watu?
Nashukuru kutoa namba yako itabidi tukuchunguze.
Cha ajabu nini sasa? mbona ni kitu cha kawaida tu
 
Namba ya usajili ni ngapi ? Eneo halina mgogoro hilo, isije ikawa ulivamia eneo la watu sasa unataka kuuza na kuishia kabla mwenyewe hajarudi kutoka Ughaibuni.
 
SHULE INAUZWA:-IPO KIBAHA
Ipo kwenye eneo la Hekari 15, ina madarasa 16, nyumba vyawalimu 14, na wanafunzi wapatao 300, ni shule ya sekondari. Bei ni Bilioni 2.7
Kwa mawasiliano na taarifa piga; 0653 234010
Na wanafunzi wanauzwa!!!
 
Cha ajabu nini sasa? mbona ni kitu cha kawaida tu

KWa hapa tulipo sasa Hii Bongo watu kama hawa tunawatafuata maana ndo wanaanzisha shule bila kujua mwafaka wake!
Unauza shule, ofcourse ni mfumo wa elimu yetu lakini kuchunguzwa ni lazima
 
Cha ajabu nini mkuu!?? anauza umiliki wa shule

wenyewe mnajua kuhusu kuuza wanafunzi, hawachelewi kuanza kugoma, ndo maana mnakuwa wakali katika hili
Dr. Una hisa ngapi hapo?
 
Shule inaitwa RONECA girls High School. Kinachouzwa ni umiliki wa shule nategemea atakayenunua atafaidika na miundombinu na 'goodwill' ya shule.
umeipataje hii gharama bwashee, 2.7billion? Ukiwa na hii pesa unaweza kujenga hizo RONECA high schools za nguvu, rudia neno NGUVU , 5 zenye viyoyozo mpaka jikoni.
 
Ah WEwe mwizi hata wanafunzi unawauza? Pole wanangu na wadogo zangu. Ni shule zinazoanzishwa hazina plan zozote. Inawezekanaje unaanzisha shule hujui utaendaje, ishu nyeti kama hii inayohusu maisha ya watu?
Nashukuru kutoa namba yako itabidi tukuchunguze.


Mkuu toa data kama unuza shule:

1) Iko Kibaha sehemu gani na umbali gani kutoka barabara ya lami

2) Ada ya shule iko je

3) Ina kidato mpaka cha ngapi

4) Matokeo latest ya shule yakoje na imekuwa ya ngapi kimkoa na kitaifa

5) Ina waalimu wenye uzoefu gani

6) Nini tofauti yake na shule za voda fasta (secondary za kata)

7) Kwa nini unauza shule? je waalumu, wanafunzi na wazazi wana taarifa?

8) Quality ya majengo ikoje (usikute madarasa yalikuwa ni mabanda ya kuku)

9) Toa registration number ya shule

Hiyo bei nayo mkuu jaribu kuwasiliana na wauza pembe za ndovu labda watahitaji.
 
hii ni noma kweli huyu kapagawa kweli sijui hizo hela..
 
TAHADHARI KWA WATU WOTE!
SHULE HII HAIUZWI,NA WALA HAKUNA MPANGO WOWOTE WA KUIUZA.
JIADHARINI NA MATAPELI.!
Naomba radhi kwa jumuiya yote ya RoNeCa waliopata usumbufu wowote na tangazo hili,
Mkurugenzi wa shule RoNeCa.
 
Du kama haiuzwi basi huyo jamaa aliweka tangazo lazima ana lake jambo. Andendekisye C tafadhali fafanua nani alikuambia shule inauzwa mpaka ukaleta hizo taarifa hapa jamvini?
 
Mkuu toa data kama unuza shule:

1) Iko Kibaha sehemu gani na umbali gani kutoka barabara ya lami

2) Ada ya shule iko je

3) Ina kidato mpaka cha ngapi

4) Matokeo latest ya shule yakoje na imekuwa ya ngapi kimkoa na kitaifa

5) Ina waalimu wenye uzoefu gani

6) Nini tofauti yake na shule za voda fasta (secondary za kata)

7) Kwa nini unauza shule? je waalumu, wanafunzi na wazazi wana taarifa?

8) Quality ya majengo ikoje (usikute madarasa yalikuwa ni mabanda ya kuku)

9) Toa registration number ya shule

Hiyo bei nayo mkuu jaribu kuwasiliana na wauza pembe za ndovu labda watahitaji.

hahahahahaha...apo umenena n dats words of wisdom
 
ngoja nimhamishe kijana wangu kabla hayajamkuta makubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom