Shule inauzwa-ipo kibaha--- hakari 15, madarasa 16, nyumba za walimu 14, na wanafunzi 300

Shule inauzwa-ipo kibaha--- hakari 15, madarasa 16, nyumba za walimu 14, na wanafunzi 300

ukinunua kitu usicho hitaji, ni rahisi kuuza kitu unacho hitaji.
 
Du Hiii Thread Imepotea Njia Ilikua Ina Elekea Kwenye Jokes Na Udaku
 
Shule inaitwa RONECA girls High School. Kinachouzwa ni umiliki wa shule nategemea atakayenunua atafaidika na miundombinu na 'goodwill' ya shule.
RONECA mbona hiyo shule ilipoanza ilikuwa nzuri mno na ikifaulisha kulitokea nini?
 
Mkuu toa data kama unuza shule:

1) Iko Kibaha sehemu gani na umbali gani kutoka barabara ya lami

2) Ada ya shule iko je

3) Ina kidato mpaka cha ngapi

4) Matokeo latest ya shule yakoje na imekuwa ya ngapi kimkoa na kitaifa

5) Ina waalimu wenye uzoefu gani

6) Nini tofauti yake na shule za voda fasta (secondary za kata)

7) Kwa nini unauza shule? je waalumu, wanafunzi na wazazi wana taarifa?

8) Quality ya majengo ikoje (usikute madarasa yalikuwa ni mabanda ya kuku)

9) Toa registration number ya shule

Hiyo bei nayo mkuu jaribu kuwasiliana na wauza pembe za ndovu labda watahitaji.
Ngoja nimsaidie kwenye matokeo
1729521176493.png
 
Back
Top Bottom