Shule inauzwa-ipo kibaha--- hakari 15, madarasa 16, nyumba za walimu 14, na wanafunzi 300

ukinunua kitu usicho hitaji, ni rahisi kuuza kitu unacho hitaji.
 
Du Hiii Thread Imepotea Njia Ilikua Ina Elekea Kwenye Jokes Na Udaku
 
Shule inaitwa RONECA girls High School. Kinachouzwa ni umiliki wa shule nategemea atakayenunua atafaidika na miundombinu na 'goodwill' ya shule.
RONECA mbona hiyo shule ilipoanza ilikuwa nzuri mno na ikifaulisha kulitokea nini?
 
Ngoja nimsaidie kwenye matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…