Shule ipi nzuri kwa a-level wavulana

Shule ipi nzuri kwa a-level wavulana

kama anataka kuchukua PCM au PCB, na kama anahuakika wa kupata grade A katika hayo masomo mwambie ajaze kati ya kibaha, mzumbe au ilboru, ila kibaha ni nzuri zaidi kwa maradhi.

Mkuu sijakusoma hapo mwisho, maradhi?
 
KAHORORO BOYS HIGH SCHOOL, located at bukoba municipal in kagera region?YAAANI WATU BADALA YA KUSEMA SHULE AMBAYO NI NZURI KWA WAVULANA YENYE MASOMO YA ARTS TANZANIA MNAANZA KUTAJA SHULE MLIZOSOMEA ADVANCE
 
Wadau naomba kukuliza
nina mwanangu wa kiume anamaliza form four mwaka huu TUSIIME nakuna
kichwa ni shule gani nzuri ya kumpeleka kwa ajili ya A-Level naomba
mwenye ufahamu anijuze. ahsateni

Kichwa chako na kuji2ma co mpaka u2mwe.
 
Mtihan wenyewe ajafanya ushaanza kumtafutia shule! Subiria majibu .
 
st.thomas more colledge!!! IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL !!
 
Usimshangae kutotaja magwiji wa Tz labda level ya ubongo wake ndo inamfanya asitaje Mzumbe, kibaha tabora ilboru

mkuu Einsten cjakuelewa! Kwan hakuna aliyezitaja hzo shulee hko nyumaa au ulitaka nizirudie? Ckuelew
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom