Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,471
- 2,891
Heshima kwa wote,
Mimi ni mwanafunzi wa ngazi ya uzamili katika chuo kimojawapo hapa nchini. Nipo katika ngazi ya kufanya utafiti (dissertation writing). Eneo ninalofanyia ni juu ya elimu jumuishi yaani (inclusive education).
katika shule za sekondary za Tanzania. Eneo la utafiti ni Dar es Salaam.
Naombeni sana mtu yeyote mwenye kujua shule ambazo zinaendesha mfumo huo wa elimu anisaidie nizifahamu; sitajali ziwe za serikali au watu binafsi.
Asanteni sana, JF kama kawaida nategemea kupata majibu hakiki.
Mimi ni mwanafunzi wa ngazi ya uzamili katika chuo kimojawapo hapa nchini. Nipo katika ngazi ya kufanya utafiti (dissertation writing). Eneo ninalofanyia ni juu ya elimu jumuishi yaani (inclusive education).
katika shule za sekondary za Tanzania. Eneo la utafiti ni Dar es Salaam.
Naombeni sana mtu yeyote mwenye kujua shule ambazo zinaendesha mfumo huo wa elimu anisaidie nizifahamu; sitajali ziwe za serikali au watu binafsi.
Asanteni sana, JF kama kawaida nategemea kupata majibu hakiki.