Shule ni hatari tupu!

Shule ni hatari tupu!

Joined
Jan 26, 2020
Posts
11
Reaction score
27
Mwalimu akiwa anafundisha mara kipepeo anatua ubaoni mwalimu anaamua kuwaambia wanafunzi "aisee vipepeo huwaga na rangi nzuri sana" mwanafunzi mmoja anaropoka "NDO UNAJUA LEO" Ungekuwa mwalimu ungemfanyaje?
 
Back
Top Bottom