ndekarishia
Senior Member
- Feb 9, 2012
- 106
- 22
msaada wanaJF,
nina mpwa wangu (mtoto wa dada) mimi ndio ninayemsupport kwa kila kitu sasa matokeo yake ya form IV ana B moja, C tatu, D mbili na F moja na combination zilizokubali ni HGL au HKL, shule gani nzuri? private zaidi na yenye maadili
nina mpwa wangu (mtoto wa dada) mimi ndio ninayemsupport kwa kila kitu sasa matokeo yake ya form IV ana B moja, C tatu, D mbili na F moja na combination zilizokubali ni HGL au HKL, shule gani nzuri? private zaidi na yenye maadili