Shule nzuri ya advance combination ya EGM mji wa mosh..?private school

Shule nzuri ya advance combination ya EGM mji wa mosh..?private school

Joined
Aug 24, 2013
Posts
30
Reaction score
1
samahan wandugu..nlikuwa naomba mwenye kujua shule nzur ya private kwenye combination ya EGM mkoa wa kilimanjaro anisaidie kuweka majina ya hzo shule apa na kama unajua na ada yake kwa mwaka itakuwa vizur zaid...n kwa ajil ya mdogo wangu wa kiume.
 
St. Merigoret, for girls, Kandoto sec. For girls iko same, na Bendel memoria for boys only ada kwa shule ya st. Merigoret na bendel si chini ya milion 2.5 kwa mwaka. Na shule zote hizi kwa matokeo yaliyopita ya kidato cha nne zipo kwenye 10 bora kimkoa na 20 bora kitaifa.
 
St. Merigoret, for girls, Kandoto sec. For girls iko same, na Bendel memoria for boys only ada kwa shule ya st. Merigoret na bendel si chini ya milion 2.5 kwa mwaka. Na shule zote hizi kwa matokeo yaliyopita ya kidato cha nne zipo kwenye 10 bora kimkoa na 20 bora kitaifa.

..hyo bendel iko kwa wap..?
 
jaman wapendwa natafuta shule za binafsi za advance na ada zao kwa michepuo ya arts.nixaidien
 
St. Merigoret, for girls, Kandoto sec. For girls iko same, na Bendel memoria for boys only ada kwa shule ya st. Merigoret na bendel si chini ya milion 2.5 kwa mwaka. Na shule zote hizi kwa matokeo yaliyopita ya kidato cha nne zipo kwenye 10 bora kimkoa na 20 bora kitaifa.

Na kwa bahati mbaya karibia zote wanafunzi wa kidato cha tano wameshaanza kwenda shule..
 
majengo sec hutajuta yuko brother lyimo pale ni balaa nlipita hapo six ilikuwa full kazi chini ya 65 somo lolote kwenu
 
samahan wandugu..nlikuwa naomba mwenye kujua shule nzur ya private kwenye combination ya EGM mkoa wa kilimanjaro anisaidie kuweka majina ya hzo shule apa na kama unajua na ada yake kwa mwaka itakuwa vizur zaid...n kwa ajil ya mdogo wangu wa kiume.

mkuu kuna shule inaitwa zacharia secondary iko moshi mjini iko poa sana na ada yake ni ya kawaida sana,ni shule ya mchanganyiko ina kombi zote za arts na biashara. Kwa maelezo zaidi piga namba hii kwa uongozi wa shule. O786724840. I proud my self of being ex student of that school.
 
majengo sec hutajuta yuko brother lyimo pale ni balaa nlipita hapo six ilikuwa full kazi chini ya 65 somo lolote kwenu

Below 65% mtu anarudi home hahahah mbona hata top 30 hamuingii inaonesha mitihani yenu rahisi sana
 
nami naomba msaada kama huu pia kwa EGM na combination nyingine za science (CBG,PCM na PCB) kwa Mwanza au Shinyanga shule za private tafadhali
 
nami naomba msaada kama huu pia kwa EGM na combination nyingine za science (CBG,PCM na PCB) kwa Mwanza au Shinyanga shule za private tafadhali

MWANZA kuna TAQWA SECONDARY, THAQAAFA SECONDARY,SHINYANGA >UNDER LAKE,MUHONGOLO EDUCATION CENTRE,
 
Back
Top Bottom