Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Ndugu zangu habari za jioni ya leo?
Naomba kujua shule zipi nzuri za serikali zenye combination ya HGK,nina mdogo wangu anasoma Musoma sekondari,anaingia kidato cha sita mwezi wa SABA,naomba kujua pia taratibu zipi za kufuata ili apate UHAMISHO kwa wakati.?
Ninaposema shule nzuri nina maana ya miundo mbinu kama walimu,madarasa,vitendea kazi vingine viwe bora na kutosha hali kadhalika joigrafia iwe ni ile inayofikika kwa urahisi kutokana na mdogo wangu kuumwa mara kwa mara hivyo mahitaji ya huduma ya afya ya jirani ni muhimu pia.
Nitashukuru kwa majibu yenu.
Naomba kujua shule zipi nzuri za serikali zenye combination ya HGK,nina mdogo wangu anasoma Musoma sekondari,anaingia kidato cha sita mwezi wa SABA,naomba kujua pia taratibu zipi za kufuata ili apate UHAMISHO kwa wakati.?
Ninaposema shule nzuri nina maana ya miundo mbinu kama walimu,madarasa,vitendea kazi vingine viwe bora na kutosha hali kadhalika joigrafia iwe ni ile inayofikika kwa urahisi kutokana na mdogo wangu kuumwa mara kwa mara hivyo mahitaji ya huduma ya afya ya jirani ni muhimu pia.
Nitashukuru kwa majibu yenu.