M mpweke Member Joined May 22, 2008 Posts 48 Reaction score 17 Dec 20, 2010 #21 Heri mwalimu huyu ambaye ameamua kufanya kazi katika mazingira magumu ili tu, wadogo zetu wapate kuelewa hata kusoma namba za magari za viongozi wachakachuaji.
Heri mwalimu huyu ambaye ameamua kufanya kazi katika mazingira magumu ili tu, wadogo zetu wapate kuelewa hata kusoma namba za magari za viongozi wachakachuaji.
B Batale JF-Expert Member Joined Nov 20, 2010 Posts 1,148 Reaction score 556 Dec 20, 2010 #22 Hawa wakichomoka na hatomaye phd huwa bahiri sana, hasa akikumbuka alikotoka.