shule vituko

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
151
Reaction score
311
Tukiwa shule ya msingi watoto walikua wanabeba vinywaji wanaweka kwa dirisha .Ikifika wakati wa chai watoto wananywa vinywaji hivo. Kijana mmoja mtundu akaweka mkojo ndani ya chupa akawacha dirishani .Ulikaa pale mda wa wiki mbili ikaanza kutoa harufu ikatupwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…