Shule\vyuo za Umma Vs Binafsi

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,422
Reaction score
7,350
Kuanzia miaka ya 2000 kushuka chini shule za Umma zilikua na thamani sana,kuliko za Binafsi,yaani mwanafunzi aliyekua shule ya Binafsi alikua anaonekana uwezo wake ulikua mdogo,wazazi walifanya kila mbinu unaamishiwa shule za Umma,lakini sasa mambo yamegeuka unachaguliwa shule za umma wazazi wanakuamisha uende shule za Binafsi ni Tatizo yaani ata zile shule maarufu haziaminiki sana
Zamani shule za Binafsi zilizoaminika ni za misheni tu
***Angalizo hii Hali tusihiruhusu ihamie vyuo vyukuu vya Umma hali itakua mbaya sana kama shule za Umma
"Vox popoli vox dei"
 
Karibuni kwa michango yenu"Ficha upumbavu wako usifiche busara yako,kuwa na busara
 
Okay shule za umma zenye heshima ni hizi hapa 1.tabora boys 2.kibaha 3.ilboru 4.mzumbe 5.kisimiri 6.msalato 7.taboragirls 8.kilakala
 

so unashauri njia gani zitumike ili kuzuia hali hiyo isikomae huku juu!
 
wewe shule sio sawa na chuo..shule za private zinafanya mbinu wanafunzi wake wafaulu(ikiwemo kuiba mitihani)na kuwapa wanafunzi wao..so unafkir na vyuo vya private vifanye hivyo pia..wawape paper wanafunzi wasidisco..??au wapate GPA kubwa??mm mwenyewe nilisoma st matthew's so najua hujuma zote wanazofanya ili shule iendelee kuwa juu..
 

UMEKIRI HUWA MNAIBA MITIHANI, DIVISION 1.5 Ya st.mathew ni sawa na ii.12 ya mwanafunzi wa ilboru
 
Hahahaaa mmeniamulia ee..msimamizi tu anapewa gar kama ahsante..wewe unategemea nn..?but hatupewi paper ila usimamizi unakua smooth kimtindo..
 
Shule binafsi walianza na mbinu kuchukua wanafunzi bora kutoka shule za umma,na kuwasomesha bure au kwa gharama ndogo,kweli mwishoni ziling,aa,na pia waliboresha maslai ya walimu wao,pia shule za binafsi zinazofanya vizuri nidham ipo juu sana kwa wanafunzi
CC FF,madame B,mammndenyi
 
Okay shule za umma zenye heshima ni hizi hapa 1.tabora boys 2.kibaha 3.ilboru 4.mzumbe 5.kisimiri 6.msalato 7.taboragirls 8.kilakala

Nini tufanye ili eshima isiondoke,maana huko mbele naona hali si mzuri au "Big result now"
 
HALAFU VIGEZO VIONGEZWE HUSUSAN KWA KOMBI ZA PCB NA HGL, MFANO MWAKA2010, KULIKUWA NA HGL WENYE POINT 6 YAANI B B B/ACB, NA Pcb WENYE POINT 5 Yaani AAC /BBA,, NASHAURI H .G.L WAISHIE POINT 5 YAANI ABB/CAA, NA PCB WACHUKUE MWISHO POINT 4 Yaani AAB
 
HALAFU VIGEZO VIONGEZWE HUSUSAN KWA KOMBI ZA PCB NA HGL, MFANO MWAKA2010, KULIKUWA NA HGL WENYE POINT 6 YAANI B B B/ACB, NA Pcb WENYE POINT 5 Yaani AAC /BBA,, NASHAURI H .G.L WAISHIE POINT 5 YAANI ABB/CAA, NA PCB WACHUKUE MWISHO POINT 4 Yaani AAB
Kwa vigezo vyako unaweza pata PCB wanne kwa kizazi hiki cha Mulugo
 
kwanini hizi shule zinafanya vizuri zaidi kwa A-level kuliko O-level esp mzumbe,tbr & kibaha??:help:
 

mimi mwenyewe nimesoma mathew,sikuona lolote khsu wizi wa mitihani.. Kwa wanafunzi wale utampa nani umwache nani,shule kijiji
 
UMEKIRI HUWA MNAIBA MITIHANI, DIVISION 1.5 Ya st.mathew ni sawa na ii.12 ya mwanafunzi wa ilboru

hakuna wizi wowote lbda miaka hiyo ya nyuma bt mathew usiposoma unagonga ziro kirahc2.. Lbda kama yeye aliibiwa akapewa,bt nt general
 
ckatai..hatuibi paper but kuna mbinu nyingi..

mbinu nyingi sawa,ni kama mpira lazima kuwe na kamati za ufundi...walimu wote ambao wanachaguliwa kutunga maswali lazima wawape hayo maswali wanafunzi wayafanye kwanza.,ndo yapelekwe necta,ndo hata marian wanafaulu kwa stahili hyo,na hata mathew wakipata bahati hyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…