Shule sio jeshi, utaachaje mtoto wa kike alale mtaani kwa ajili ya sheria za shule?Kuchelewa ni kosa la shule au mzazi?
Fundisha mwenyewe nyumbani kwako. Na kama ni biashara, si peleka pesa yako kwingineNaona waalimu mnataka kunipanda kichwani. Hamjui kuwa hizo shule ni biashara? Au mnasomesha bure watoto?
Sasa unawezaje kuleta jeuri kwenye biashara? Mimi nitawalamba makofi na nitawatia ndani mjifunze kuheshimu hela za watu sio kukalisha makalio tu ofisini na kutesa watoto wa watu.
Unawaza kwa kutumia nini mkuu.Warud om wakawalete wazazi shida ipo wapi hapo
Kwani aliyewapandisha basi hakujua sheria za shule? Kwanini shule ipewe majukumu yasiyo ya kwake? Wazazi wakachukue watoto waoShule sio jeshi, utaachaje mtoto wa kike alale mtaani kwa ajili ya sheria za shule?
Kwanini wasiwapokee na wawaite wazazi wao waje kuwachukua?
Usitetee upumbuvu...utu kwanza sheria baadae
Acha upuuzi wewe hii ni biashara tu.Kwani aliyewapandisha basi hakujua sheria za shule? Kwanini shule ipewe majukumu yasiyo ya kwake? Wazazi wakachukue watoto wao
Peleka shule nyingine isiyo na mashartiAcha upuuzi wewe hii ni biashara tu.
Kwa hali hiyo mbona watadoda?
Swali linauliza wakati unawalamba makofi wao watakuwa wanakuangalia tu? jibu swali acha kuendelea kuonesha ujinga wako.Naona waalimu mnataka kunipanda kichwani. Hamjui kuwa hizo shule ni biashara? Au mnasomesha bure watoto?
Sasa unawezaje kuleta jeuri kwenye biashara? Mimi nitawalamba makofi na nitawatia ndani mjifunze kuheshimu hela za watu sio kukalisha makalio tu ofisini na kutesa watoto wa watu.
Sasa kwa nini uwapeleke shule na una pesa? kaa nao hom hizo pesa ziwafundishe zitawaheshimu. Kwani umelazimishwa kuwapelekea walimu watoto wako? Na watu kama nyie ndio Vitoto vyenu huwa vinaishia Kuliwa na maticha. Mna midomo sana na ukute hata hyo pesa ya kupeleka watoto prvt schools huna.Naona waalimu mnataka kunipanda kichwani. Hamjui kuwa hizo shule ni biashara? Au mnasomesha bure watoto?
Sasa unawezaje kuleta jeuri kwenye biashara? Mimi nitawalamba makofi na nitawatia ndani mjifunze kuheshimu hela za watu sio kukalisha makalio tu ofisini na kutesa watoto wa watu.
Alafu Mwl. Ujue tabia mlionayo huku chini inaathiri hadi vyuoni? Yaani unakuta mtu kasomea hadi Kawa lecturer, maumivu ya kunyanyaswa huku msingi na sec, anatesa na watoto wenu huko vyuoni. Hakika tabia za rushwa ya Ngono ni moja ya matokeo ya unyanyasaji ktk shule za msingi, kwa vile kule hamna fimbo, fimbo yao ni rushwa za namna hiyo. Mngejua kuwa kuwa wema kwa watoto Kuna impact kubwa msingefanya ufedhuli wenu... Maana watoto ukiwa penda na kuwaelekeza kama binadamu hujenga Ari ya utu ktk Maisha yao yote... Acheni roho za kutu, na msidhani kuwa watoto wenu mtasomesha sebuleni... Watapita huku wafanyiwe ufedhuli.. Maana apandacho mtu huvuna!Fundisha mwenyewe nyumbani kwako. Na kama ni biashara, si peleka pesa yako kwingine
Unaandika mambo mengi sana, lakini unachotetea ni ujinga. Watanzania tujifunze kufuata taratibu, ukiambiwa leta mtoto tar 10, ukimpeleka tar 11 usilalamike shule ikikataa. Kuwapenda watoto sio kuwaruhusu wafanye makosa. Hapa wenye shida ni wazazi, wakachukue watoto wao, over! Tusiendekeze irresponsible behaviours.Alafu Mwl. Ujue tabia mlionayo huku chini inaathiri hadi vyuoni? Yaani unakuta mtu kasomea hadi Kawa lecturer, maumivu ya kunyanyaswa huku msingi na sec, anatesa na watoto wenu huko vyuoni. Hakika tabia za rushwa ya Ngono ni moja ya matokeo ya unyanyasaji ktk shule za msingi, kwa vile kule hamna fimbo, fimbo yao ni rushwa za namna hiyo. Mngejua kuwa kuwa wema kwa watoto Kuna impact kubwa msingefanya ufedhuli wenu... Maana watoto ukiwa penda na kuwaelekeza kama binadamu hujenga Ari ya utu ktk Maisha yao yote... Acheni roho za kutu, na msidhani kuwa watoto wenu mtasomesha sebuleni... Watapita huku wafanyiwe ufedhuli.. Maana apandacho mtu huvuna!
Sawa na Ualimu wako wa karne, ndio maana mna Alisha viongozi wasio na utu, wanatuuzia bandari zetu, komaeni na principle za Ualimu za punishment wakati we zenu wako ktk discipline... π πUnaandika mambo mengi sana, lakini unachotetea ni ujinga. Watanzania tujifunze kufuata taratibu, ukiambiwa leta mtoto tar 10, ukimpeleka tar 11 usilalamike shule ikikataa. Kuwapenda watoto sio kuwaruhusu wafanye makosa. Hapa wenye shida ni wazazi, wakachukue watoto wao, over! Tusiendekeze irresponsible behaviours
Shule iko sahihi wanaume mahawara zao waliowaweka ndani hadi kuchelewa kuripoti waende nao kwa wazazi wao waende nao wakawaeleze huko sio shuleniKuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike.
Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku kulala nje ya shule.
Jumatatu ya Julai 10, 2023 walikuwa hajapokelewa bado, hadi sasa wapo mitaani na usiku wa pili sasa wanalala nje.
Tunaomba mamlaka zifuatilie suala hili.
===
JamiiForums imefuatilia suala hili, soma: Wanafunzi waliochelewa kuripoti shule ya wasichana ya Lucas Malia walala mtaani baada ya kuzuiwa kuingia
Fuata utaratibu....inawezakana hao wanafunzi waliondoka nyumbani mapema lakini wakaenda kwa "Baba Jose Muuza Mkaa". Wanaogopa nini kuwasiliana na wazazi?Sawa na Ualimu wako wa karne, ndio maana mna Alisha viongozi wasio na utu, wanatuuzia bandari zetu, komaeni na principle za Ualimu za punishment wakati we zenu wako ktk discipline... π π
Alichelewa wapi? Alale kwa mabwana zake mahawara huko achelewe ndio shule ihangaike naye kumpokea katoka kwa mahawara hukoJe kwanini mtoto alale nje?
Kumchelewesha kumfikisha mtoto wa kike ukiwa naye kama hawara ukitarajia shule itampokea mtoto huyo wa kike sio rahisiSawa lakini kumlaza nje mtoto wa sekondali Tena wa kike pia ni ujinga wa walimu inamaana wamekosa njia nyingine ya kotoa adhabu?
Kichwa cha habari cha kibaguzi.... Huu uwana harakati una haribu maadili... Mtoa mada ungesema wanafunzi tu bila kutaja jinsia ungepungukiwa nini? Maana ya bandiko lako ni kwamba wanafunzi wakike ndio wanafunzi ila wakiume sio?Kuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike.
Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku kulala nje ya shule.
Jumatatu ya Julai 10, 2023 walikuwa hajapokelewa bado, hadi sasa wapo mitaani na usiku wa pili sasa wanalala nje.
Tunaomba mamlaka zifuatilie suala hili.
===
JamiiForums imefuatilia suala hili, soma: Wanafunzi waliochelewa kuripoti shule ya wasichana ya Lucas Malia walala mtaani baada ya kuzuiwa kuingia
Yani hata mimi nashindwa kuelewa. Watoto wako nje ya shule kama mtu ni mzazi kweli na anajua kilichomchelewesha bintiye, anashidwa nini kwenda kuonana na walimu hili jambo liishe? Maana kuna watoto ni pasua kichwa kweli, anaondoka leo nyumbani, anakaa kwa boy friend siku 4 ndio anaenda shule. Uongozi wa shule unajaribu kuwabana... mzazi haelewiWarud om wakawalete wazazi shida ipo wapi hapo