Shule ya Meta Sekondari Mbeya ni mali ya serikali, serikali itueleze CCM waliipataje?

Shule ya Meta Sekondari Mbeya ni mali ya serikali, serikali itueleze CCM waliipataje?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Shule ya Meta Sekondari ambayo miaka kadhaa kabla ya Uhuru ilijulikana kwa jina la N. A. Middle School, ni moja ya shule za boding'i za wavulana tu na baada ya Uhuru ikajumuisha na wasichana wasiolala shuleni.

Mji wa mbeya ulikuwa na shule za tatu kati(middle) tatu, yaani N.A. wavulana, Meta wasichana, hii ilikuwa imechanganywa na Loleza Sekondari ambapo robo ya kwanza miaka ya sitini ilihamishiwa eneo la Foresti karibu na gereza la Luanda, na baadae Mbata mchanganyiko.

Ilipofika miaka ya themanini CCM ikaichukua shule ya N.A. Middle School ambayo ilitoa wakurugenzi wengi serikalini na mashirika ya umma na kuifanya mali yake! Katika hali ya kawaida, hatutegemei serikali kushindwa kuendesha shule na kuishia kuiuza kimyakimya, ni vizuri serikali ieleze ni vipi iliipa CCM hiyo shule ambayo imekuwa ikikabiliwa na matatizo ya uendeshaji tangu ilipochukuliwa.

Ushauri, ni vizuri serikali iichukue hiyo shule badala ya kuipa pesa za kuiendesha kinyume na sheria kama ambavyo ilivyoipa CCM pesa za kuvifanyia matengenezo viwanja vya mpira vilivyokuwa mali ya serikali.
 
Naomba pia uwaulize shule ya namfua sec iliyopo kule rombo waliipataje?
 
Ccm wamepora kila kitu nchi hii. Hata uwanja wa mpira wa miguu wa pale Tabora mjini (Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi) ulijengwa kwa michango ya wananchi wa mkoa wa TABORA bila kujali itikadi zao kwa hamasa ya mpenda michezo Lawrence Gama (rip) miaka ya 1990s.
 
Walipata kwa mbinu ileile wanayotumia kupata ushindi wa Kishindo, yaani KISHINDO, sijui Kama mnakielewa
 
Shule ya Meta Sekondari ambayo miaka kadhaa kabla ya Uhuru ilijulikana kwa jina la N. A. Middle School, ni moja ya shule za boding'i za wavulana tu na baada ya Uhuru ikajumuisha na wasichana wasiolala shuleni.

Mji wa mbeya ulikuwa na shule za tatu kati(middle) tatu, yaani N.A. wavulana, Meta wasichana, hii ilikuwa imechanganywa na Loleza Sekondari ambapo robo ya kwanza miaka ya sitini ilihamishiwa eneo la Foresti karibu na gereza la Luanda, na baadae Mbata mchanganyiko.

Ilipofika miaka ya themanini CCM ikaichukua shule ya N.A. Middle School ambayo ilitoa wakurugenzi wengi serikalini na mashirika ya umma na kuifanya mali yake! Katika hali ya kawaida, hatutegemei serikali kudhindwa kuendesha shule na kuishia kuiuza kimyakimya, ni vizuri serikali ieleze ni vipi iliipa CCM hiyo shule ambayo imekuwa ikikabiliwa na matatizo ya uendeshaji tangu ilipochukuliwa.

Ushauri, ni vizuri serikali iichukue hiyo shule badala ya kuipa pesa za kuiendesha kinyume na sheria kama ambavyo ilivyoipa CCM pesa za kuvifanyia matengenezo viwanja vya mpira vilivyokuwa mali ya serikali.
Leo wakati naskiza TBC Taifa kipindi cha watoto.

Nilifurahi mno kuskia majibu ya watoto walokuwa wakishiriki kwenye kipindi hicho.

Mfano,
waliulizwa na mtangazaji , shule yenu inaitwaje?
watoto walijibu kwa sauti ya furaha mno,

shule yetu inaitwa CCM 🌹

shule hiyo nadhani iko huko mbagala, dar es salaam Tanzania 🐒
 
Leo wakati naskiza TBC Taifa kipindi cha watoto.

Nilifurahi mno kuskia majibu ya watoto walokuwa wakishiriki kwenye kipindi hicho.

Mfano,
waliulizwa na mtangazaji , shule yenu inaitwaje?
watoto walijibu kwa sauti ya furaha mno,

shule yetu inaitwa CCM 🌹

shule hiyo nadhani iko huko mbagala, dar es salaam Tanzania 🐒
Mbagala hakuna shule yenye jina hilo, itakua waporaji wanajiandaa kupora shule kwa kuwaaminisha watoto walizoee jina.
 
Napendekeza viwanja na maeneo yoote yarudi kwenye serikali husika ya Mkoa au wilaya.
 
Shule ya Meta Sekondari ambayo miaka kadhaa kabla ya Uhuru ilijulikana kwa jina la N. A. Middle School, ni moja ya shule za boding'i za wavulana tu na baada ya Uhuru ikajumuisha na wasichana wasiolala shuleni.

Mji wa mbeya ulikuwa na shule za tatu kati(middle) tatu, yaani N.A. wavulana, Meta wasichana, hii ilikuwa imechanganywa na Loleza Sekondari ambapo robo ya kwanza miaka ya sitini ilihamishiwa eneo la Foresti karibu na gereza la Luanda, na baadae Mbata mchanganyiko.

Ilipofika miaka ya themanini CCM ikaichukua shule ya N.A. Middle School ambayo ilitoa wakurugenzi wengi serikalini na mashirika ya umma na kuifanya mali yake! Katika hali ya kawaida, hatutegemei serikali kudhindwa kuendesha shule na kuishia kuiuza kimyakimya, ni vizuri serikali ieleze ni vipi iliipa CCM hiyo shule ambayo imekuwa ikikabiliwa na matatizo ya uendeshaji tangu ilipochukuliwa.

Ushauri, ni vizuri serikali iichukue hiyo shule badala ya kuipa pesa za kuiendesha kinyume na sheria kama ambavyo ilivyoipa CCM pesa za kuvifanyia matengenezo viwanja vya mpira vilivyokuwa mali ya serikali.
Mkuu hujataka kusema kabisa kuhusu madai ya wafanyakazi wa hiyo shule kutolipwa mishahara yao kwa muda sasa.
 
Naomba pia uwaulize shule ya namfua sec iliyopo kule rombo waliipataje?
Ningeijua historia yake ninge
Mkuu hujataka kusema kabisa kuhusu madai ya wafanyakazi wa hiyo shule kutolipwa mishahara yao kwa muda sasa.
"shule ambayo imekuwa ikikabiliwa na matatizo ya uendeshaji tangu ilipochukuliwa". Ninauhakika unachotaka niandike kimo kwenye hiki nilichokiandika, hili la mishahara si mara ya kwanza kutokea, ni mara nyingi tu kisha zinachotwa kodi zetu wanalipwa.
 
Back
Top Bottom