Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
Dereva wa Shule ya msingi jijini dsm amewasababishia majereha watoto baada ya kusababisha ajali. Inasadikiwa mwanaume hUyo alikuwa amelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa taarifa kama mtu aliekamilika au nawe umekunywa..?Dereva wa Shule ya msingi fortune amewasababishia majereha watoto baada ya gari yake kuendesha akiwa amelewa
Toa wewe, na naomba ufute post yako sitaki Jina la shule hiyo ionekane. Kwa sabb za kibiasharaToa taarifa kama mtu aliekamilika au nawe umekunywa..?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Toa taarifa kama mtu aliekamilika au nawe umekunywa..?
Bila hela utasubiri sana..😂Toa wewe, na naomba ufute post yako sitaki Jina la shule hiyo ionekane. Kwa sabb za kibiashara
Naomba
MaaninaBila hela utasubiri sana..😂
Mwenyewe phaler wewe..Maanina
Wakati mwingine huwa namuelewa Sana prof. Assad pale aliposema watanzania walio wengi uelewa wao uko chini.Dereva wa Shule ya msingi jijini dsm amewasababishia majereha watoto baada ya kusababisha ajali. Inasadikiwa mwanaume hUyo alikuwa amelewa
Toa wewe, na naomba ufute post yako sitaki Jina la shule hiyo ionekane. Kwa sabb za kibiashara
Naomba
Nawe umesikia kutoka kwa mtu anayetaka ajira ya udereva kwenye shule hiyo.Dereva wa Shule ya msingi jijini dsm amewasababishia majereha watoto baada ya kusababisha ajali. Inasadikiwa mwanaume hUyo alikuwa amelewa
we ni wa wapi tena.so si umwambiw mode afute uzi?Toa wewe, na naomba ufute post yako sitaki Jina la shule hiyo ionekane. Kwa sabb za kibiashara
Naomba