Shule ya msingi Isanga iliyopo Kilolo Iringa

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
1:-Imehitimisha mara 4 mpaka sasa
2:-Ina vyumba v4 vya madarasa.
3:-Wanafunzi wapo 498 ila ina madawati 63 tu.
4:-Ina ofisi 1 tu.
5:-Haina hata tundu 1 la choo ya kudumu
6:-Eneo la shule ni ekari 3(Majengo yakiwemo)
MPAKA HAPO TUNATEGEMEA KUPATA NN? Ahsant
 
Ushahidi wa picha za shule na manthari yake ni muhimu kuijenga hoja yako
 
Mkuu Jerhy,ningekuwekea ushahidi wa picha ili uamini niyasemayo,imeshindikana kufanya hivyo kutokana uwezo mdg wa cm yangu,by the way mm ndo mwalimu wa shule hiyo mkuu,naamini utakuwa umelizika kwa hapo ili ujadili hoja yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…