tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
1:-Imehitimisha mara 4 mpaka sasa
2:-Ina vyumba v4 vya madarasa.
3:-Wanafunzi wapo 498 ila ina madawati 63 tu.
4:-Ina ofisi 1 tu.
5:-Haina hata tundu 1 la choo ya kudumu
6:-Eneo la shule ni ekari 3(Majengo yakiwemo)
MPAKA HAPO TUNATEGEMEA KUPATA NN? Ahsant
2:-Ina vyumba v4 vya madarasa.
3:-Wanafunzi wapo 498 ila ina madawati 63 tu.
4:-Ina ofisi 1 tu.
5:-Haina hata tundu 1 la choo ya kudumu
6:-Eneo la shule ni ekari 3(Majengo yakiwemo)
MPAKA HAPO TUNATEGEMEA KUPATA NN? Ahsant