DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
huko ndiyi UD ya wachawi.. unaweza ukaenda ukawa unanyeshewa mvua wewe tu au unapika chakula hakiivi..
Ile hadithi tu ilinitisha na nkawa nnadhani Gamboshi ni moja ya eneo la kuzimu, kumbe ni hapa hapa Tz.
Huko ni balaaa.