huko ndiyi UD ya wachawi.. unaweza ukaenda ukawa unanyeshewa mvua wewe tu au unapika chakula hakiivi..
Ahahaaaaaaaaa, mkuu kuna uchawi Hata ukiwa nazo za huko, wenzio wanakuzidi tu. Mfano: Sumbawanga maana yake Tupa uchawi wako (Kwa tafsiri) isiyo rasmi. Hivyo kama una chale zako, wenyewe wakiamua huna la kuwazuia.kwani wako tayari kuchanjwa chale za ma------..