Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Basi ikumbukeni hii shuleKwahiyo ukuona shule zilizo boreshwa mbona jukumu ilo lilitekelezwa na pia bado kuna mikakat Inaendelea
Itakumbukwa kuhusu shule kwa tz bado shule ni nyingi sana zinaenda kuboreshwa na ninying zinahitaji maboreshoBasi ikumbukeni hii shule
HakikaHivi ule utaratibu wa Wanafunzi waliosoma miaka ya nyuma kwenye shule husika kusaidia shule yao umeishia Mzumbe peke yake.
Nadhani kuna haja wanufaika wakasaidia walipotoka
[emoji117]MKUU WA WILAYA YUPOWalimu na Wanafunzi wa shule ya msingi Nachingwea , wameomba serikali na wadau waliowahi kusoma hapo kusaidia kuboresha majengo ya shule hiyo yaliyo na hali mbaya .
Shule hiyo ina Wanafunzi 549 lakini inatumia vyumba vitatu tu vyenye ahueni (hatukuambiwa hali ya vyoo)
Chanzo : Azam TV
View attachment 2697986
Swali : Zile hela za Corona tulizoambiwa ziliboresha madarasa kwenye mashule huku hazikufika ?
Zilibolesha matumbo yao.Walimu na Wanafunzi wa shule ya msingi Nachingwea , wameomba serikali na wadau waliowahi kusoma hapo kusaidia kuboresha majengo ya shule hiyo yaliyo na hali mbaya .
Shule hiyo ina Wanafunzi 549 lakini inatumia vyumba vitatu tu vyenye ahueni (hatukuambiwa hali ya vyoo)
Chanzo : Azam TV
View attachment 2697986
Swali : Zile hela za Corona tulizoambiwa ziliboresha madarasa kwenye mashule huku hazikufika ?
Wote uliowataja kazi yao kuu ni kuhakikisha kila kituo cha kupigia kura kunafichwa masanduku yenye kura feki ili kuokoa ccm[emoji117]MKUU WA WILAYA YUPO
[emoji117]MBUNGE YUPO
[emoji117]MKURUGENZI YUPO [emoji117]MKUU WA MKOA YUPO kama hao wote Wapo ina maana WAMESHINDWA KAZI kuna sababu gani ya kuendelea kuwa KAZINI?
Walimu na Wanafunzi wa shule ya msingi Nachingwea , wameomba serikali na wadau waliowahi kusoma hapo kusaidia kuboresha majengo ya shule hiyo yaliyo na hali mbaya .
Shule hiyo ina Wanafunzi 549 lakini inatumia vyumba vitatu tu vyenye ahueni (hatukuambiwa hali ya vyoo)
Chanzo : Azam TV
View attachment 2697986
Swali : Zile hela za Corona tulizoambiwa ziliboresha madarasa kwenye mashule huku hazikufika ?
HakikaVipaumbele vyetu vinachekesha. Hapo ukute TAMISEMI wametenga bilioni moja ya ma land cruiser ya viongozi.
Afrika ni masikini kwakuwa viongozi wetu na wengi wa wanachi wetu hawama akili. Dhihaka za wakoloni dhidi ya baadhi ya babu zenu zilikuwa za kweli kabisa, wana akili kama za nyani.
Baba anayenunua Iphone 14 promax wakati watoto hawana chakula ni MPUMBAVU. Serikali yetu inatatizo la upumbavu uliokubuhu, na hii ni tokea awamu ya pili kuja juu. Zote ujinga mtupu.
Mkapa na Magufuli angalau walikuwa wanajielewa, japo walizungukwa na manyani yaleyale.