Shule ya sheng iko wapi

Yangu meno nimeweka hivyo vitu hapo chini afu mtaa wangu sirahisi nilishwe mbegu maana kidogo tumestaarabika.View attachment 1024022

Sent using Jamii Forums mobile app
Mombasani eeh? Ndio maana huwa napenda ziara za MSA watu wastaarabu kama wabongo, hilo nalo sio siri. Nairobi kuzuri kupindukia ila kuna baadhi ya vijana ambao ni wahuni tena sana. Kuna police station pale mitaa ya Saika waliiwaangusha OCS watano kwa msururu hadi polisi wakawa wanakataa kuwa promoted kwa uoga wa kufanyiwa kweli.
 
Ila sikujua kama hizo nyororo za silver ndio trademarks Yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio zao hizo alafu kwa kujiamini kwao bila uoga huo ndio muenekano wao wote. Utadhani ni magwanda yao ya kivita. Ila janja janja zao zilifika mwisho baada ya kitengo maalamu cha kupambana nao, cha Kenya Police, Rhino Squad na dawa yao Hessy pia kuwaangusha kama mende bila huruma.
 
Dah! Hua sipendi kuona vijana wakiangushwa kiasi hicho lakini Kwa usalama serkali lazima iwashughulikie,,,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lenga hizo stori
 
Sio Mombasa,siwajua maneno ya Mombasa wewe? Mtaa wangu upo Nairobi tu ila si rahisi kutokee visa vya aina hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kilugha kinaniboa kinyama hua sipendi hata kumsikia mtu akikizungumza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheng ni kubwa sana,si wote hatuongei sheng same,but tuyaelewana,kuna diffrence ya sheng ya eastlands some parts na westlands na rongai,hizo sheng ziko diffrent,hadi accent iko diffrent,utapata wenye wanaongea na pua pia sana sana ronga na westi
 
Mmmh aseeeh nilitoka kapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…