Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Endelea kukariri hivyo hivyo [emoji7][emoji7][emoji7]i like it
Bantu, kuzungumza mnazungumza vizuri sana ila kuandika na nafikiri pia kufundisha mpo ZERO. Umeona vile wenzio wamedhihirisha kuwa mna elimu duni? Yaani mtu haelewi vitawe na mnyambuliko wa vitenzi. Ukiuliza mtoto wa kikenya maswali kama haya atakujibu vizuri sana.
 
Endelea kukariri hivyo hivyo [emoji7][emoji7][emoji7]i like it
Mnasema lugha ni yenu ila hamjui mnyambuliko wa vitenzi. Niambie ni kitenzi kipi ambacho hakiwezi kunyambuliwa?
Leo ndio nimeamini illiteracy iko juu sana tzedi. Hamtoki kwenye kundi la LDC hivi karibuni.
 
Endelea kuropoka ropoka [emoji7][emoji7][emoji7]i like it
Mnasema lugha ni yenu ila hamjui mnyambuliko wa vitenzi. Niambie ni kitenzi kipi ambacho hakiwezi kunyambuliwa?
Leo ndio nimeamini illiteracy iko juu sana tzedi. Hamtoki kwenye kundi la LDC hivi karibuni.
 
Jenerosa na MK,

Wapo walimu wa Lugha wazuri tu ambao wanajua kufundisha tafsida na vinyumbulisho vyote. Usione uandishi wa baadhi ya watu humu jukwaani ukadhani ndio hali ya walimu wa Kiswahili iko hivyo pia. Asilimia kubwa ya matamshi ya watu hua wanaathiriwa na lugha zao asili lakini haimaanishi kuwa hawaelewi Lugha husika.

Kama utakua umewahi Kufundishwa darasani na mwalimu toka India au Ireland utakua umenielewa.
Bantu, kuzungumza mnazungumza vizuri sana ila kuandika na nafikiri pia kufundisha mpo ZERO. Umeona vile wenzio wamedhihirisha kuwa mna elimu duni? Yaani mtu haelewi vitawe na mnyambuliko wa vitenzi. Ukiuliza mtoto wa kikenya maswali kama haya atakujibu vizuri sana.
 
[emoji4][emoji4][emoji316][emoji316] u jus fuc ya wyf n sleep don wan 2 hear dat she already inserted a cup of tobacco down there #imbecile
Najua leo tangu kukuche hujatumiwa hayo makopa kopa ndo maana unaniquote ili nikutumie [emoji7][emoji7][emoji7]
 
Mara nyingi tunawaambia humu kwamba sisi Wakenya tunakipenda Kiswahili, ndio lugha yetu ya taifa inayotambulika kikatiba, tunakitumia mitaani na kote kote, sema ni ile hatuna ubumbumbu wa kujifungia kwenye lugha moja.

Tunatumia Kiswahili, Kingereza na lugha zetu za asili. Leo Kiswahili kinazagaa dunia na kupata umaarufu kwa ajili ya jitihada za Wakenya, tunakitangaza na kukipigia debe lakini pamoja na hayo tunaonyesha umahiri mkubwa kwa kumudu lugha zingine.

Utafiti wa sayansi ulishabaini kwamba ujanja wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua hata uwezo wa kutumia ubongo na kufikiria.

Afrika Kusini wamesaini makubaliano na Kenya ya kuanza kufundisha Kiswahili kwenye mtaala wao, hapo tayari maelfu ya Wakenya watahitajika kwenda kukifunza, ikumbukwe kule Uchina na Japani Wakenya ndio wanafunza Kiswahili kwenye vyuo vyao.

Waziri wa elimu wa Afrika Kusini yupo Kenya na amehudhuria utiaji saini wa hayo makubaliano.
------------------------------------------

zytgdhsdkzc2ub3dkz725cde613696019.jpg

Principal Secretary for Early Learning and Basic Education, Dr. Belio Kipsang, Cabinet Secretary for Education Prof George Magoha (C) and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga. [Photo: Courtesy]


South Africa will teach Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya
This precedes yesterday’s meeting in which Cabinet Secretary of Education Prof George Magoha and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga signed a Memorandum of Understanding for the respective countries.

The Signing of the MOU paves way for the introduction of Kiswahili teaching in South Africa, which will add to the bulk of many languages taught in the country.

Speaking at his office in Jogoo House, Nairobi, after signing the MOU; Prof Magoha lauded the development as a step forward to strengthen collaboration between the two countries.

Motshekga on the other hand said that 40 per cent of learners in South Africa are currently are either learning or speaking Kiswahili. This, she said would be beneficial to developing country’s educational system.


Mzee uko wapi?
 
[emoji4][emoji4][emoji316][emoji316] u jus fuc ya wyf n sleep don wan 2 hear dat she already inserted a cup of tobacco down there #imbecile

Wewe ukitukana hata hupendezi,
Matusi wachia wakora na Majobless kama Kina Msapere & co
 
Jenerosa na MK,
Wapo walimu wa Lugha wazuri tu ambao wanajua kufundisha tafsida na vinyumbulisho vyote. Usione uandishi wa baadhi ya watu humu jukwaani ukadhani ndio hali ya walimu wa Kiswahili iko hivyo pia. Asilimia kubwa ya matamshi ya watu hua wanaathiriwa na lugha zao asili lakini haimaanishi kuwa hawaelewi Lugha husika.
Kama utakua umewahi Kufundishwa darasani na mwalimu toka India au Ireland utakua umenielewa.
I understand you perfectly well. Likewise,how Kenyans talk or write on social media platforms doesn't define what's taught in Kenyan schools. There are teachers who have specialized in Swahili only and they teach perfectly fine
Vitabu vinavyotumiwa kufundishia hii lugha vimeandikwa kiswahili kama hicho chenu
Kuanzia kiswahili mufti by wallah bin wallah (shule ya msingi)
Vitabu vya fasihi vya sekondari vimeandikwa na watanzania na wakenya.
Wengine tuliosoma nao wanasomea kiswahili K.U n.k
 
Hakuna ajuaye misamiati yote katika lugha isipokuwa ile tu anayoitumia katika mazingira yake. Mswahili wa Pwani hatumii misamiati ya Bara na vivyo hivyo kwa Mswahili wa Bara. Mf. Chunga, Angua, Lina, Mbizi, Kasia.
mi huaganashangaa na watanzania...mnajisifia kiswahili...kumbe kuna na maneno mengine hta hamyajui na wala hamjawai kuyaskia...mwenzako kuna siku hapa jf ilkua hata hajui maana ya kumakinika, hv leo na wewe unaleta ubishi wa kijinga...yani hujui maana ya kufunza
 
Yaani hata mtoto wa darasa la nne atashangaa kwa haya maneno yako. Kwani Funzwa, Funzia, Funzana si vitenzi vilivyonyambuliwa?
Hakuna kitu funza chenye maana ya fundisha....bali funza ni mdudu misili ya kiroboto mwenye sifa ya parasite.
 
Jenerosa na MK,

Wapo walimu wa Lugha wazuri tu ambao wanajua kufundisha tafsida na vinyumbulisho vyote. Usione uandishi wa baadhi ya watu humu jukwaani ukadhani ndio hali ya walimu wa Kiswahili iko hivyo pia. Asilimia kubwa ya matamshi ya watu hua wanaathiriwa na lugha zao asili lakini haimaanishi kuwa hawaelewi Lugha husika.

Kama utakua umewahi Kufundishwa darasani na mwalimu toka India au Ireland utakua umenielewa.

Nafahamu vizuri sana masuala ya lafudhi na pia siongei kuhusu uandishi wenu duni wa humu JF.
 
Jenerosa na MK,

Wapo walimu wa Lugha wazuri tu ambao wanajua kufundisha tafsida na vinyumbulisho vyote. Usione uandishi wa baadhi ya watu humu jukwaani ukadhani ndio hali ya walimu wa Kiswahili iko hivyo pia. Asilimia kubwa ya matamshi ya watu hua wanaathiriwa na lugha zao asili lakini haimaanishi kuwa hawaelewi Lugha husika.

Kama utakua umewahi Kufundishwa darasani na mwalimu toka India au Ireland utakua umenielewa.
Jamaa wa "kufunza"!
 
Hujui kiswahili vizuri alafu eti unataka ukafundishe

Ova
 
Back
Top Bottom