fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,071
Kwa kuzingatia hali ya mporomoko wa elimu, shule za watu binafsi zifutwe. Shule hizi zimechangia kuua elimu tena bila hata huruma, hawa jamaa wamegeuza elimu ya taifa hili kuwa ni biashara wakti serikali wakiangalia. Waziri wa elimu taifisha shule hizi kwa kuwapa fidia wamiliki.
Shule zibaki kuwa za mashirika ya dini, taasisi za umma na serikali tu.
Hebu fikiria wizi wa mithani ni hizi english medium, ada kubwa yaani wizi wa kuaminiwa, elimu duni yaani watoto hawafundishwi kama ambavyo inatengazwa na kuonekana kwa TV, Je mtoto atapata elimu kwa lugha asiyoijua?? as lower as class 1 or 2 at 7&8yrs of age????
Elimu biashara inamchango mkubwa kwenye kufa kwa elimu TZ, eti mtu anafaulu hajui kusoma wala kuandika haya ni mambo ya elimu biashara. WAZIRI FUTEENI SHULE ZA BINAFSI.
Nawasilisha
Shule zibaki kuwa za mashirika ya dini, taasisi za umma na serikali tu.
Hebu fikiria wizi wa mithani ni hizi english medium, ada kubwa yaani wizi wa kuaminiwa, elimu duni yaani watoto hawafundishwi kama ambavyo inatengazwa na kuonekana kwa TV, Je mtoto atapata elimu kwa lugha asiyoijua?? as lower as class 1 or 2 at 7&8yrs of age????
Elimu biashara inamchango mkubwa kwenye kufa kwa elimu TZ, eti mtu anafaulu hajui kusoma wala kuandika haya ni mambo ya elimu biashara. WAZIRI FUTEENI SHULE ZA BINAFSI.
Nawasilisha