Shule za bweni ni nzuri maana mwanafunzi anakua na muda mwingi wa kujisomea pia anaweza kuinteract na wenzake wa bweni kwa muda mrefu na kufanya mijadala.pia anakua na ratiba ya kusoma tu labda awe na katabia ka kuchepuka ila kama ametulia hostel ni pazuri sana.