Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Wakuu kwa wale wote wenye uelewa wa shule hizo naomba kujua ubora na udhaifu wa hizo shule mana kuna mtoto wa dada anatarajiwa kuanza kidato cha 5 hapo badae mwezi wa 7 hivyo nahitaji kujua machache kuhusiana na hizo shule 2 ile tupate best choice.
Karibuni!
Karibuni!