Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
Ubovu wa matokeo ya kidato cha nne kwa miaka mitatu mfululizo umechangiwa kwa kiasi kikubwa na UWEPO WA SHULE ZA KATA,ambazo kimsingi zina mapungufu mengi sana ikiwemo walimu,vitabu na kukosekana kwa mabweni.
HIZI SHULE KUZIFANYA KUWA ZA DAY kumeongeza matatizo na ugumu kwa mwanafunzi kuliko zingekuwa za boarding(bweni)
ZINGEKUWA ZA BWENI kusingekuwa na tatizo la USAFRI. ZINGEKUWA ZA BWENI ingekuwa rahisi kutatua:-
1.tatizo la MAJI
2.tatizo la NISHATI ya kusomea(UMEME)
3.tatizo la MIMBA
4.tatizo la kuoa/kuolewa
5.tatizo la kukosekana kwa concetration kwenye kusoma na kujisomea.
INGEWEZEKANA KWA SABABU WANAFUNZI WAPO MAHALA PAMOJA.
HIZI SHULE KUZIFANYA KUWA ZA DAY kumeongeza matatizo na ugumu kwa mwanafunzi kuliko zingekuwa za boarding(bweni)
ZINGEKUWA ZA BWENI kusingekuwa na tatizo la USAFRI. ZINGEKUWA ZA BWENI ingekuwa rahisi kutatua:-
1.tatizo la MAJI
2.tatizo la NISHATI ya kusomea(UMEME)
3.tatizo la MIMBA
4.tatizo la kuoa/kuolewa
5.tatizo la kukosekana kwa concetration kwenye kusoma na kujisomea.
INGEWEZEKANA KWA SABABU WANAFUNZI WAPO MAHALA PAMOJA.