Upandishwaji wa ada kiholela bila kuangalia miundo mbinu ya shule zao ni kuingiza siasa ktk elimu.Naona viongozi wa jumuiya ya wazazi ni kuangalia fedha ziingiazo siyo taaluma.Ninyi viongozi kama hamusimamii taaluma na mnapandisha ada kiholela hata fedha iliyokuwa inapatikana mtakosa.