shule za kata hizi -ccm ilaaniwe

Aliyezipigania kuzijenga ni el alivyoondoka kaziacha kama mwana mkiwa
 
Smile ww ni mwanaccm mbona unailaani tena..au umeshajivua gamba
 
Smile Smile Smile! Umezipata wapi hizo answer sheets? Nimecheka na kulengwa machozi ya huzuni kwa wakati mmoja! Nadhani hatutakiwi kuilaani ccm kwa kila jambo. Wazazi pia wanahusika jamani. Hao wanafunzi walioandika hayo majibu si tu kuwa hawana akili/hawakufundishwa vizuri hayo masomo darasani, bali hawana nidhamu pia.
 
Smile, mbona huo mwandiko kama wa kwangu? Inakuwaje useme nilijibu isivyo wakati necta nilipasua division 3?
 
mtoto hajawai kumuona mwalimu toka ajiunge na shule unategemea ajibu nini?
 
Aliyezipigania kuzijenga ni el alivyoondoka kaziacha kama mwana mkiwa
kumbe ilikuwa project yake nasikia atarudi tena ngoja tuone kama atazifufua
 
Nadhani huyu aliagizwa na wazazi wkae ajibu vibaya ili asichaguliwe kuendelea mbele maana inaonesha akili yaa kujibu anayo.
Mwandiko mzuri sana, tofauti kabisa na majibu!
 
Mwandiko mzuri sana, tofauti kabisa na majibu!
Watoto wana akili walikosa msaada toka form one hajawai kumuona mwalimu
Unategemea ajibu nini
Heri wasingechaguliwa huko wazazi wao wajue pa kuwapeleka mapema
 
mtoto hajawai kumuona mwalimu toka ajiunge na shule unategemea ajibu nini?

Hiyo miandiko inaonesha wamewahi kufundishwa walao wanajua kuandika. Nahisi tatizo ni bangi! Hao watoto hata nyumbani kwao hawana adabu. Kama mtu hujui jibu sahihi la kuandika si walao uache wazi? Usijibu chochote kuliko kuandika huo ujinga?
 
This is very possible. Kwani NECTA walishalisemea hili na kuwafutia matokeo walioandika matusi kwenye exam.
 
Nadhani huyu alikua na tatizo binafsi sio shule za kata peke yake maana hichi kiinglishi ni kizuri tu kwa level yake hyuy alikua na lake jambo, unajua nasema hivyo kwasababu nimeshafundisha kwene hizi shule za kata, yaani ni vilio kama una akili utalwalilia sana watoto hawa, wanajifunza umalaya na ukahaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…