Y young j Member Joined Dec 22, 2012 Posts 58 Reaction score 17 Dec 22, 2012 #1 hv serikali ilkusudia k2 gani kuanzisha shule za kata ambazo hazna walimu, wanafunzi wanateseka coz inabd kutafuta tution wakati wazazi hawana uwezo wa kuwapeleka tution....wanaumia jaman....! naomben maon yenu kuhusu hili tatizo linalowakabili
hv serikali ilkusudia k2 gani kuanzisha shule za kata ambazo hazna walimu, wanafunzi wanateseka coz inabd kutafuta tution wakati wazazi hawana uwezo wa kuwapeleka tution....wanaumia jaman....! naomben maon yenu kuhusu hili tatizo linalowakabili