hv serikali ilkusudia k2 gani kuanzisha shule za kata ambazo hazna walimu, wanafunzi wanateseka coz inabd kutafuta tution wakati wazazi hawana uwezo wa kuwapeleka tution....wanaumia jaman....!
naomben maon yenu kuhusu hili tatizo linalowakabili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.