lwampel
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 249
- 55
Wakuu habari gani?, mimi nina Mdogo wangu amemaliza kidato cha nne Mwaka jana 2012 kwa bahati mbaya aja bahatika kuchaguliwa ktk shule ya gava, kwa hiyo nahitaji kumpeleka katika shule yeyote yenye gharama nafuu isiyozidi shilingi laki tano kwa mwaka (yeye anataka kusoma HKL), mimi nipo Dar na ningependa shule hiyo iwe dar au jirani na mkoa wa dar. Kwa yeyote anaefahamu shule hizo naomba mnijulishe wana jamii wenzangu.AHSANTE