Shule za nipigetafu na walimu wa vodafasta

Shule za nipigetafu na walimu wa vodafasta

It is Sur_Plus

Senior Member
Joined
Sep 28, 2010
Posts
167
Reaction score
7
Aman ya Utanzania iwe nanyi wanaJF,
Ndugu zangu juzi nilikua katika safari ndogondogo za mwisho wa mwaka huku mikoa ya nyanda za juu kusini katika mikoa ya Rukwa, Mbeya ,Ruvuma na Iringa. Kiukweli nilipita katika vijiji takribani 22 katika mikoa hiyo.
Hali ya hizi shule zetu za nipige tafu zikiwa na walimu wa Vodafasta jamani inatisha, Shule unakuta ina mwalimu mmoja kidato cha kwanza hadi cha nne. Nilijiuliza ni aina gan ya elimu watoto wetu wanapata katika shule hizo au ndo wanaenda kukua tu katika shule hizo?
Hivi haya magari wanayo tumia waheshimiwa ambayo hayatoi hata lifti kwa japo jirani zao. Na fedha zinazo tumika kuendesha semina zisizo na tija na zile zinazo tumika ktk misafara ya waheshimiwa. Zingeweza kubadirisha shule zetu hzi za NIPIGE TAFU na WALIMU WA VODAFASTA?


PREASURE LIES NOT IN DISCOVERING TRUTH BUT IN SEEKING IT.
 
Nadhan junahitaji kupiga kura ya kutokua na imani na raisi na jopo lake
 
Nadhani tupige kura ya kutokua na imani na Raisi na jopo lake
 
Wewe mwenye mawazo finyu, na usiyelitakia mema taifa ndo unatakiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani.
Raisi ameona mbele na kuweka maslahi ya taifa mbele ndo maana akaanzisha hizo shule. anahitaji kuungwa mkono kwa hali na mali.walimu wanaohitimu wakipangiwa mikoani waende.Na serikali nayo iboreshe maslahi ya walimu na mazingira ya kufanyia kazi pia, ili wavutiwe kwenda huko.Kwa kufanya hayo, lengo la Rais wetu litakuwa limetimia.
Ila we unayechukia watanzania kupelekewa shule karibu ili wasome kwa urahisi nashindwa kukuelewa. Au kwa sababu wewe hukupata bahati hiyo? au kwa kwa sababu umesoma kwa shida na kuokoteza okoteza viqualifications vyako uchwara ndo maana ungependa na wengine wasisome? Huo ni wivu wa kijinga, na wala huwezi kuendelea kwa staili hiyo.
 
unajua tatizo sio shule wala walimu...........shule ipo wapi mazingira gani,,,,hudmagani za jamiii zanazopatikana,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,inauchumi kiasi gani watu wa hapo ni waelewa kiasi gani shughuli zao ni zipi,wanamwako wa elimu kiasi gani ukipata jibu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,litakuwa sawasawa na mwalimu mmoja/nipigetafu is equvalent to niongezee salio
 
Wewe mwenye mawazo finyu, na usiyelitakia mema taifa ndo unatakiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani.
Raisi ameona mbele na kuweka maslahi ya taifa mbele ndo maana akaanzisha hizo shule. anahitaji kuungwa mkono kwa hali na mali.walimu wanaohitimu wakipangiwa mikoani waende.Na serikali nayo iboreshe maslahi ya walimu na mazingira ya kufanyia kazi pia, ili wavutiwe kwenda huko.Kwa kufanya hayo, lengo la Rais wetu litakuwa limetimia.
Ila we unayechukia watanzania kupelekewa shule karibu ili wasome kwa urahisi nashindwa kukuelewa. Au kwa sababu wewe hukupata bahati hiyo? au kwa kwa sababu umesoma kwa shida na kuokoteza okoteza viqualifications vyako uchwara ndo maana ungependa na wengine wasisome? Huo ni wivu wa kijinga, na wala huwezi kuendelea kwa staili hiyo.


Hapo kwenye red: Inaonekana mkuu elimu ya uraia (civics) imekupita mbali, unamzungumzia Rais na serikali kana kwamba ni vitu viwili tofauti, Mtoa mada anasisitiza kuwa serikali (ambayo oinaongozwa na rais) iweke elimu kama top piority na fedhsa zinazotumika kwenye kununua magari ya kifahari yasiyo na umuhimu wowote zipelekwe kwenye kuboresha elimu. Rais wetu kashindwa kuhimiza hii hivyo naunga mkono hoja apigiwe kura ya kutokuwa na imani nae.
 
Wewe mwenye mawazo finyu, na usiyelitakia mema taifa ndo unatakiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani.
Raisi ameona mbele na kuweka maslahi ya taifa mbele ndo maana akaanzisha hizo shule. anahitaji kuungwa mkono kwa hali na mali.walimu wanaohitimu wakipangiwa mikoani waende.Na serikali nayo iboreshe maslahi ya walimu na mazingira ya kufanyia kazi pia, ili wavutiwe kwenda huko.Kwa kufanya hayo, lengo la Rais wetu litakuwa limetimia.
Ila we unayechukia watanzania kupelekewa shule karibu ili wasome kwa urahisi nashindwa kukuelewa. Au kwa sababu wewe hukupata bahati hiyo? au kwa kwa sababu umesoma kwa shida na kuokoteza okoteza viqualifications vyako uchwara ndo maana ungependa na wengine wasisome? Huo ni wivu wa kijinga, na wala huwezi kuendelea kwa staili hiyo.

Hapo kwenye RED, we unadhani kwa nini vijijini walimu hakuna na mijini wamejaa tele? Wakubwa wetu wangeboresha miundombinu na huduma za jamii vijijini, hilo tatizo la walimu vijijini lisingekuwepo. Kuwepo kwa shule hizo kunazidi tu kuleta matabaka katika elimu, Hivi unafikiria sekondari yenye mwalimu mmoja wanafunzi wanasoma kweli? Wanachoambulia ni watoto wa kike kupata mimba kwa wingi kwa sababu hata hosteli hakuna na wala hakuna ulinzi wa kutosha. Serikali ingelifikilia hili kabla ya kufungua shule
Maana kuwa na shule nyingi hakusaidii, kikubwa ni quality na si quantity.
 
Aman ya Utanzania iwe nanyi wanaJF,
Ndugu zangu juzi nilikua katika safari ndogondogo za mwisho wa mwaka huku mikoa ya nyanda za juu kusini katika mikoa ya Rukwa, Mbeya ,Ruvuma na Iringa. Kiukweli nilipita katika vijiji takribani 22 katika mikoa hiyo.
Hali ya hizi shule zetu za nipige tafu zikiwa na walimu wa Vodafasta jamani inatisha, Shule unakuta ina mwalimu mmoja kidato cha kwanza hadi cha nne. Nilijiuliza ni aina gan ya elimu watoto wetu wanapata katika shule hizo au ndo wanaenda kukua tu katika shule hizo?
Hivi haya magari wanayo tumia waheshimiwa ambayo hayatoi hata lifti kwa japo jirani zao. Na fedha zinazo tumika kuendesha semina zisizo na tija na zile zinazo tumika ktk misafara ya waheshimiwa. Zingeweza kubadirisha shule zetu hzi za NIPIGE TAFU na WALIMU WA VODAFASTA?


PREASURE LIES NOT IN DISCOVERING TRUTH BUT IN SEEKING IT.

Viongozi wetu wengi ni wabinafsi, wako pale kwa maslahi binafsi.
 
Viongozi wetu wengi ni wabinafsi, wako pale kwa maslahi binafsi.

bazil mlamba,lowasa,JK hawa watu kufungiwa jiwe la kusagia ngano shingon na kutoswa baharini ni halali yao kwa wanavyoitesa na kuinyanyasa nchi na wananchi wake.
 
Kwa mtu anaetembea huko mikoani na kufuatilia issues za namna hio anaweza kuambulia kisukari au BP maana hutaweza kuelewa hayo mazingira yaliyofikiwa kuiita shule ya... ni ujinga mtupu ni zaid ya chekechea! last month nilikua wilaya mpya ya kilindi-tanga, vilio vitupu, au kilolo-iringa unaweza kuchanganyikiwa ukimuona mjin.. flani anasimama jukwaani na kujisifia upupu! Mungu atusaidie ila haya magenge ya majambazi tunayounda yatatugharimu sana!
 
Back
Top Bottom