It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Aman ya Utanzania iwe nanyi wanaJF,
Ndugu zangu juzi nilikua katika safari ndogondogo za mwisho wa mwaka huku mikoa ya nyanda za juu kusini katika mikoa ya Rukwa, Mbeya ,Ruvuma na Iringa. Kiukweli nilipita katika vijiji takribani 22 katika mikoa hiyo.
Hali ya hizi shule zetu za nipige tafu zikiwa na walimu wa Vodafasta jamani inatisha, Shule unakuta ina mwalimu mmoja kidato cha kwanza hadi cha nne. Nilijiuliza ni aina gan ya elimu watoto wetu wanapata katika shule hizo au ndo wanaenda kukua tu katika shule hizo?
Hivi haya magari wanayo tumia waheshimiwa ambayo hayatoi hata lifti kwa japo jirani zao. Na fedha zinazo tumika kuendesha semina zisizo na tija na zile zinazo tumika ktk misafara ya waheshimiwa. Zingeweza kubadirisha shule zetu hzi za NIPIGE TAFU na WALIMU WA VODAFASTA?
PREASURE LIES NOT IN DISCOVERING TRUTH BUT IN SEEKING IT.
Ndugu zangu juzi nilikua katika safari ndogondogo za mwisho wa mwaka huku mikoa ya nyanda za juu kusini katika mikoa ya Rukwa, Mbeya ,Ruvuma na Iringa. Kiukweli nilipita katika vijiji takribani 22 katika mikoa hiyo.
Hali ya hizi shule zetu za nipige tafu zikiwa na walimu wa Vodafasta jamani inatisha, Shule unakuta ina mwalimu mmoja kidato cha kwanza hadi cha nne. Nilijiuliza ni aina gan ya elimu watoto wetu wanapata katika shule hizo au ndo wanaenda kukua tu katika shule hizo?
Hivi haya magari wanayo tumia waheshimiwa ambayo hayatoi hata lifti kwa japo jirani zao. Na fedha zinazo tumika kuendesha semina zisizo na tija na zile zinazo tumika ktk misafara ya waheshimiwa. Zingeweza kubadirisha shule zetu hzi za NIPIGE TAFU na WALIMU WA VODAFASTA?
PREASURE LIES NOT IN DISCOVERING TRUTH BUT IN SEEKING IT.