Shule za VIPAJI maalum: Nini dhumuni lake hasa?

Shule za VIPAJI maalum: Nini dhumuni lake hasa?

Unakesha unasoma(unakariri), miguu mpaka kwenye ndoo ndio unafaulu afu unajitapa unakipaji maalum.......!!?,wabongo hamuishiwi na vituko kweli!!!.
 
Kutaarisha viongozi wa nchi mfano.MWL.NYERERE(BABA WA TAIFA),PROF.LIPUMBA,BENARD MEMBE,PROF.KAPUYA,DR.MWAKYEMBE
 
Mkuu, hili suala la vipaji maalumu hata mimi nashindwa kuelewa mantiki yake ni nini hasa. Hii ni ishara ya kufeli kwa serikali katika kushughulikia matatizo ya elimu yanayoisibu nchi yetu. Niliwahi kuandika mada hii kupitia magazeti ya Nipashe na Mwananchi kama ifuatavyo na watu wengi waliniunga mkono katika utetezi wangu huu. Lakini mada hiyo nilipoiweka humu JF sikupata uungwaji mkono wa kutosha na watu wengi waliniponda kwa kutoona umuhimu wa shule za 'vipaji maalum'. Inashangaza kwamba kufaulu vizuri mitihani (hata kama umeiba mitihani), kwa Tanzania hiki ni 'kipaji maalum'!

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mitihani-vizuri-sio-%91kipaji-maalumu%92.html
 
Back
Top Bottom