Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Mtoto wa maskini anasomea daftar gharama zaidi ya elfu mbili |2000 na mtoto wa tajiri shilling mia mbili.
Maskini ataendelea kuwa maskini
Na tajiri kuwa tajiri kwa sababu ya hali ya nchini. Elimu bure iko wapi au fumbo mfumbie mjinga!
bora ingebaki ada ya shule mara kila siku mwanafunzi hajakamilika. Kwani ada shingapi? Na mbona mahitaji yameongezeka!
Serikali kweli mnatenda haki. Au ndo kutuchoka! Mnyonge HAWEZI pata
Haki wakati ushamnyonga.
Maskini hana bahati! Tajiri anasoma kitonga! Nionekane sina ueredi ila nyie ndo mlikotoka ila leo hatuna maana! Kisa viset vinafoka.
Hali ngumu ya maisha inafanya uovu kuongezeka maana mtu anafosi panapovuja ili kuezeka.
Kula hana uhakika! Atahishije mtoto wa AFRIKA. Atujali tulipotokka ila tunashukhuru tulipofika, tukiamka asubuhi dua yetu moja! Allhamudulilah
Kula iwe uhakika.
Maskini ataendelea kuwa maskini
Na tajiri kuwa tajiri kwa sababu ya hali ya nchini. Elimu bure iko wapi au fumbo mfumbie mjinga!
bora ingebaki ada ya shule mara kila siku mwanafunzi hajakamilika. Kwani ada shingapi? Na mbona mahitaji yameongezeka!
Serikali kweli mnatenda haki. Au ndo kutuchoka! Mnyonge HAWEZI pata
Haki wakati ushamnyonga.
Maskini hana bahati! Tajiri anasoma kitonga! Nionekane sina ueredi ila nyie ndo mlikotoka ila leo hatuna maana! Kisa viset vinafoka.
Hali ngumu ya maisha inafanya uovu kuongezeka maana mtu anafosi panapovuja ili kuezeka.
Kula hana uhakika! Atahishije mtoto wa AFRIKA. Atujali tulipotokka ila tunashukhuru tulipofika, tukiamka asubuhi dua yetu moja! Allhamudulilah
Kula iwe uhakika.