Sainya Jnr
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 467
- 1,112
Mwanafunzi mmoja alikuwa anavutiwa kimapenzi na mwalimu wake ambaye alikuwa ni mrembo haswa.
Basi siku moja mwalimu yule alitoa test.
Yule mwanafunzi akachomekea na barua yenye ujumbe wa mapenzi mulemule kwenye karatasi yake.
Yule mwalimu akakusanya karatasi akaenda kuzisahihisha nyumbani kwake.
Yule mwanafunzi akawaadithia rafiki zake alichokifanya.
Wengine walimsifia kwa ujasiri wake na wengine walimtisha kwa kitendo alichokifanya.
Kesho yake yule mwalimu aliingia darasani akagawa karatasi zote kwa wanafunzi isipokuwa ya yule mwanafunzi.
Akamfuata alipo akamwambia "Naomba tuongozane staff room"
Yule mwanafunzi aliogopa sana akijua tayari kishawaka.
Hata wale rafiki zake wakajua mwenzao shule ndio basi tena.
Ila walipofika ofisini yule mwanafunzi hakuamini macho yake alipoona
SUBIRINI KIDOGO WAUNGWANA
HIVI MNANILIPA?
MBONA KAMA NAUMIZA KICHWA SANA?
MSHANIUDHI [emoji53][emoji53][emoji53]
SIENDELEI[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Copiado de alguna parte
Por Sportslady_Tz [emoji460] [emoji460] [emoji460]
Basi siku moja mwalimu yule alitoa test.
Yule mwanafunzi akachomekea na barua yenye ujumbe wa mapenzi mulemule kwenye karatasi yake.
Yule mwalimu akakusanya karatasi akaenda kuzisahihisha nyumbani kwake.
Yule mwanafunzi akawaadithia rafiki zake alichokifanya.
Wengine walimsifia kwa ujasiri wake na wengine walimtisha kwa kitendo alichokifanya.
Kesho yake yule mwalimu aliingia darasani akagawa karatasi zote kwa wanafunzi isipokuwa ya yule mwanafunzi.
Akamfuata alipo akamwambia "Naomba tuongozane staff room"
Yule mwanafunzi aliogopa sana akijua tayari kishawaka.
Hata wale rafiki zake wakajua mwenzao shule ndio basi tena.
Ila walipofika ofisini yule mwanafunzi hakuamini macho yake alipoona
SUBIRINI KIDOGO WAUNGWANA
HIVI MNANILIPA?
MBONA KAMA NAUMIZA KICHWA SANA?
MSHANIUDHI [emoji53][emoji53][emoji53]
SIENDELEI[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Copiado de alguna parte
Por Sportslady_Tz [emoji460] [emoji460] [emoji460]