Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
Imefikia mahala lazima serikali ijihami ipasavyo kulinda raia zake baada ya magaidi wa Al shaabab kuweka kambi nchi ya jirani msumbiji.
Uharibifu wa mali ya uma,, wingi wa vifo na kutimuliwa katika makazi yao raia wa msumbiji si kitu cha kusikiliza kama mechi ya soka bila kukifanyia kazi na kujihami kwa mbinu azizi.
Inasikitisha sana leo hii wakazi wengi sana wa Msumbiji wanaishi katika matenti kama skauti bila hiari yao baada ya hawa magaidi kuwatia hasara ya uhai na mali zao.
Nimetaja sehemu nyeti sana ambazo mara kwa mara magaidi hutumia kama soft target ili kuimiza serikali na kutuletea uchungu raia wa wapenda amani.
Serikali za kiafrika hazijishughulishi kumtafuta nani nawafadhili hawa magaidi kwa kuwapa pesa na siraha na magari bali nchi zetu zinapeleka majeshi ya kulinda amani tuu.
Sasa watapeleka majeshi ya kulinda amani mpaka lini ikiwa kama kuna watu matajiri wanawachangia hela magaidi au nchi fulani zinawapa misaada kisirisiri .
Mungu ibariki Tanzania!
Uharibifu wa mali ya uma,, wingi wa vifo na kutimuliwa katika makazi yao raia wa msumbiji si kitu cha kusikiliza kama mechi ya soka bila kukifanyia kazi na kujihami kwa mbinu azizi.
Inasikitisha sana leo hii wakazi wengi sana wa Msumbiji wanaishi katika matenti kama skauti bila hiari yao baada ya hawa magaidi kuwatia hasara ya uhai na mali zao.
Nimetaja sehemu nyeti sana ambazo mara kwa mara magaidi hutumia kama soft target ili kuimiza serikali na kutuletea uchungu raia wa wapenda amani.
Serikali za kiafrika hazijishughulishi kumtafuta nani nawafadhili hawa magaidi kwa kuwapa pesa na siraha na magari bali nchi zetu zinapeleka majeshi ya kulinda amani tuu.
Sasa watapeleka majeshi ya kulinda amani mpaka lini ikiwa kama kuna watu matajiri wanawachangia hela magaidi au nchi fulani zinawapa misaada kisirisiri .
Mungu ibariki Tanzania!