Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 621
- 1,298
haina maumivu kwa vyovyote vile hawezi kubali umlipie au kama ataagiza basi ni gharama ndogo hapo ndio mwisho wa jeuri yake kifuatacho atakua mpoleHii code Haina maumivu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haina maumivu kwa vyovyote vile hawezi kubali umlipie au kama ataagiza basi ni gharama ndogo hapo ndio mwisho wa jeuri yake kifuatacho atakua mpoleHii code Haina maumivu?
nakusubir unichunenakuja
hutaniwiMuhudumu akawiii kashafika mezan
uko sure kua unachunika?nakusubir unichune
Kabisa mkuu umeongea point aiseePunguza shobo naye, muwekee mazingira ajione wa kawaida.
Kadri unavyozidi kumpapatikia ndivyo kadri unavyozidi kumkosa.
Mnatutusa wauni ila one day yeshutaniwi
jaribu uoneuko sure kua unachunika?
kwajinsi nilivyo muelewa mletamada huyodemu nijeuri kamawewe.Jeuri kwamba hayuko romantic ama anakufokea?
Mnatutusa wauni ila one day yes
sawajaribu uone
Wakati ndio huukila jambo na wakati wake
itakuwa ananata nata.
Bet hii mbona ataliwa Kila sikuUnajuana nae? Au ndio umemuona tu mshipa ukasimama??
Salaam, ikifatiwa na siku yako ilikuaje....mwambie yako pia ilikua super fine, "naomba kukununulia kinywaji ila sina cash hela ipo kwa simu naomba namba ya kutuma kama hautajali" akikupa namba tuma pesa kisha nyamaza.....nyamaza bro😹
Mbinu ikitiki uje namie nkupe namba unambie ahsante.
Akikataa achana nae bana wanawake ni wengi asikupande kichwani😹
Kwema??Fuata tips za Hance Mtanashati
Kila la heri
Kunata maana yake kuringa kupitiliza ,na humo humo suala la ujeuri limo kwa ndaniKunata?
Mbona maana ya kunata nayoijua sio mahala pake hapa 😃
SureKunata maana yake kuringa kupitiliza ,na humo humo suala la ujeuri limo kwa ndani
KumbeKunata maana yake kuringa kupitiliza ,na humo humo suala la ujeuri limo kwa ndani
Huu Uzi naona title imebadilishwa kuna nini?
tittle inatakiwa iwe,,,,, NAOMBA TIPS ZA KUMTONGOZA DEM JEURI