Kiukweli shunie nakupenda sana kama samaki Na maji kila nionapo avatar yako naugulia moyo mithili ya sindano ya krolokwin,nipo tayari kujitambulisha kwenu Na kuleta posa ya hamsini elfu au laki,
Mimi ni mpole Ila mtukutu some time,najua kubembeleza sana,yani hata kukuogesha poa tu,pia ukichoka kupiga mswaki mm nitakupiga.
Kuhusu kwenye kitanda cha seremala shughuli naiweza vizuri tu,wewe ni kuniambia panapo washa mm nakuna,pia chumvi nachimba
ila kwako tu.
Naomba usiniangushe unipm.
Mwaaaa!!!!
Ukishakubaliana naye mlete nimuulize amejiandaaaje kukuchukua..hivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
Ah ah ah ah ah Muosha Rungu Sijui Anaoshaga Rungu La Nan.....??hivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
Usimbanie banahivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
huy jamaa kanivunja mbavu kinomaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
kukubaliana nae siwezi bamdogo nishamjibu hapo juu mm ni baby wa mtuUkishakubaliana naye mlete nimuulize amejiandaaaje kukuchukua..
ngoja aje kujibu hahhaAh ah ah ah ah Muosha Rungu Sijui Anaoshaga Rungu La Nan.....??
mm kuongea uongo siweziUsimbanie bana
kwa nnhuy jamaa kanivunja mbavu kinomaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kukubaliana nae siwezi bamdogo nishamjibu hapo juu mm ni baby wa mtu
nikiachika nakuwa mtawaUkiachika je utaweza kumfikiria? Lol!
hahhaha sasa nitajigawaje kwa hao wa3 hapana aisee siwezi
Mimi najua hata muulize huyo atakuambiahahhaha sasa nitajigawaje kwa hao wa3 hapana aisee siwezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi najua hata muulize huyo atakuambia