CHE Raptino
JF-Expert Member
- Mar 11, 2017
- 1,027
- 1,068
Mke wa mtu huliwa na mtu, chuma ndio huliwa na kutua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hizo Mboga 7..! Kijana yupo in suffern alafu unajibu kwa haraka hivo, angalia bhaana bahati ikipita haiji tena Bibie...hivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
We huoni jamaniLol! Sasa hapa uchochezi ni upi Sakayo?
We huoni jamani
Shedede kazi unayo. Muosha rungu huyo anatafuta mahali pa kuoshea rungu lake. Kazi kweli kweli! [emoji23][emoji23][emoji23]ichi nachokiona hapa ni upuuuzi mtupu
Mkuu si unaona. Kuoa mwanamke mzuri ni kujipa stress za bure tu. Pole!!!ukisataajabu ya husna utayaona ya shunie
ngoja mapema nirudiiiii kwa poriiiiii
Kaah..hivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
N'golo Kante upo? [emoji41]kuanziaa alfajir mpaka now full uvurugee
Nasikia alikuwa anafua akaivua..Hahaha
Nafwaaa mieee...
Mdogo wangu, hivi hiyo Pete haionekani au
Vepee...ichi nachokiona hapa ni upuuuzi mtupu
Muosha Rungu kadata. Yaani nimecheka vibaya sana leo...Nasikia alikuwa anafua akaivua..
Sasa akawa ameisahau nyumbani afu akaenda dukani..ndio kakutana na muosha Rungu
HahahaNasikia alikuwa anafua akaivua..
Sasa akawa ameisahau nyumbani afu akaenda dukani..ndio kakutana na muosha Rungu
Hahahaa...Muosha Rungu kadata. Yaani nimecheka vibaya sana leo...