Shunie l love you

Shunie l love you

hivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
Acha hizo Mboga 7..! Kijana yupo in suffern alafu unajibu kwa haraka hivo, angalia bhaana bahati ikipita haiji tena Bibie...
 
mkuu sikucheki wala sikukebehi ila uwezo wako wakufikiria mdogo sana avatar ya shunie ndo inakufanya uanzishe hiki ki-thread kuna haja mods waziwekee pending to approve thread uchwara kama hizi ...... ...... ......
 
ichi nachokiona hapa ni upuuuzi mtupu
Shedede kazi unayo. Muosha rungu huyo anatafuta mahali pa kuoshea rungu lake. Kazi kweli kweli! [emoji23][emoji23][emoji23]
19cd39ae44074a8e45bb9d3b71d4820d.jpg
 
Back
Top Bottom