Shunie l love you

Shunie l love you

Mwanzo nilikuwa nampemda hyu shunie mpaka nikajiliza Kwa sakayo anisaidie wapi matita zikatetea

Namshukuru mungu nilikuwa nimeanza kumsahau shunie
Ila huu Uzi wako umenikumbusha mbali sana

Kupenda afu isipendwe ni aibu sana Kwa umma unaokufaham vilivyo

Mtoa mada usikate tamaa tafta mwingne asiyefahamika kabisa humu JF uanze kumchezesha sindimba ataelewa tyu

Mwanamke uliyemtengeneza mwenyew ni bora kuliko wa kutengenezewa

Usione vinaelea vimejazwa upepo
 
Back
Top Bottom