Najiamni nilivyo mwenyewe ni wowowo toshaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sivai hizo vituWewe ndiye uliyeharibu kwa kushangaa kwasauti mpaka kila mtu akagundua kwamba mlimbwende hana wowow
Ulisahau kama siku hizi kuna skintite za sponchi yaan ni zaidi ya wowow [emoji26]
Ha ha ha ha ha hyo Mungu azid kumbariki kiboko dahHapana aisee nimeshamalizana nae hapa nimemshkuru nimemjibu vizuri Mungu azidi kumbariki nampenda pia
Ila Bonny si unamuona lakiniMama mie sina neno kwenye hili bonny asikimbie na mahari tu.
Kwan ina alama ile mdogo wangu ongea vzur tu mumeo akija kuleta case ntasuhulisha mimMe mke wa mtu kaka bonny kama kimapenzi siwezi jaman
Ewaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hivyo hivyo na watumie ndugu zao walio vijijini[emoji23][emoji23][emoji23]eti waende radio one[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namtumia salaam Shunie wa JamiiForums namtakia kila la heri na baraka katika mwaka huu mpya wa 2018. Ujumbe: tutakula au fitina!? lol!
Dah nimetega naisubiria kwa [emoji8][emoji8]Inakuja mkuu subiri
Hapana sijaharbu ney bwana mie nilishtuka tu unajua siku hz teknolojia imekuwa kubwa sana usikute mie nafanyiwa editing tuWewe ndiye uliyeharibu kwa kushangaa kwasauti mpaka kila mtu akagundua kwamba mlimbwende hana wowow
Ulisahau kama siku hizi kuna skintite za sponchi yaan ni zaidi ya wowow [emoji26]
Mambo ya kungwi hayo[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] me pia Demiss wangu sema unaniudhi kitu kimoja kutomfungukia yuleeee yuleee si umejua eenh mfate pm anza kumzoea kwa salaam niniii mengine yatajileta usije ukakufwa na utamu wako
Asante sana ila hiyo kunipenda nyingine umechelewa nimeshawahiwa me ni mke wa mtuHii Thread ni special kwa ajili yako mamaa, yote yapokee kwa mikono miwili but wahenga walisema aisifue mvua imemnyea,karibu sana mrembo
Sasa kaka Bonny kwa sifa hizi nitashindwa kweli kumuombea kwa Mungu ambarikiHa ha ha ha ha hyo Mungu azid kumbariki kiboko dah
Khaaaaaa siwezi mimiKwan ina alama ile mdogo wangu ongea vzur tu mumeo akija kuleta case ntasuhulisha mim
Wewe muachie MunguIla Bonny si unamuona lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana sijaharbu ney bwana mie nilishtuka tu unajua siku hz teknolojia imekuwa kubwa sana usikute mie nafanyiwa editing tu
huyo demmis huyommmmmh
Anatesekaje kumpenda mtu amfungukie tu lijulikanike mojaMambo ya kungwi hayo
MmhMzee unakoenda siko.
Du borjar ett krig med svarforaldrar
Me namwachia Mungu tuWewe muachie Mungu