Shunie: The thread is special for you.

Ni kweli ukizuia kikohozi lazma ubanje [emoji4]

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Umenikumbusha mbali sana, enzi za secondary ilikuwa ukibanja mtu akiwa karibu yako anshtuka na kuanza kuangalia shati kama limechanika au la, maana mlio wa banja kama sauti ya baruti
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah ilikuwa burudani sana,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah ilikuwa burudani sana,
Nilikuwa na tabia ya kubana banja kwa kuhofia kuchekwa, nikiibana sana inaanza kuforce itoke ninajikuta nahema huku banja inakoroma kama kuku mwenye kikohoz[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…