Shunie: The thread is special for you.

Naunga hoja mkono.

Kipindi sijazoeana naye humu, tuliwahi kukwazana kwenye uzi fulani. Baada ya kuwa nimemsoma na kugundua alichonacho kichwani nikamkubali pia nikamkumbusha sehemu tuliowahi kukwazana, akakumbuka na akakiri, tukacheka tukafurahi na tukasameheana.

Shunie ni mdau wangu sana humu jamvini!!
 
Hongera sana kwa kuwa mdau wake!
 
Ukimkosea anakuambia ukweli tu, mnayaongea yanaisha na urafiki unarudi pale pale. Mimi alishawahi kunipa ushauri wa maana sana mpaka nikashangaa. Namheshimu sana !!!
 
Nnadhani sio wewe tu watu wengi tunamwelewa sana hapa JF anayoyafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…